• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

ZAIDI YA WAGONJWA 450 WAPATIWA HUDUMA UPASUAJI WA MACHO BURE ARUSHA

Posted on: April 18th, 2025

Zaidi ya wananchi 450 kutoka maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Arusha wamepata huduma ya upasuaji wa Mtoto wa Jicho (cataract) bure, kupitia kampeni ya afya iliyoendeshwa na Madaktari Bingwa na Wabobezi kutoka nchini Hispania.



Huduma hiyo, iliyolenga kuwasaidia wananchi wa kipato cha chini, inafanyika katika Hospitali ya Wilaya ya Meru, na imepokelewa kwa furaha kubwa na jamii husika ambayo kwa muda mrefu imekuwa ikikumbwa na changamoto ya matatizo ya macho bila uwezo wa kupata matibabu stahiki.



Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Christian Makonda, ametembelea hospitali hiyo kwa lengo la kuwapa pole wagonjwa waliokuwa wakipatiwa huduma, na kuwapongeza wahudumu wote waliofanikisha kampeni hiyo ya kibinadamu ambapo amewashukuru wataalam hao kwa moyo wa kujitoa kusaidia jamii, akisisitiza kuwa jitihada hizo zinaendana na maono ya serikali ya awamu ya sita ya kutoa huduma bora za afya kwa kila Mtanzania.



“Mafanikio haya ni matokeo ya mahusiano imara ambayo yamejengwa na Rais wetu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kati ya Tanzania na mataifa mengine, jambo ambalo limefungua milango kwa mashirika na wadau mbalimbali kushirikiana nasi katika maendeleo ya sekta ya afya na Serikali itaendelea kushirikiana na wadau wote wanaogusa maisha ya wananchi kwa namna chanya kama ilivyofanyika hapa.” amesema Mhe. Makonda.



Hata hivyo, Wananchi waliopata huduma hiyo wameeleza jinsi walivyokuwa wakiteseka na matatizo ya macho, na sasa wanayafurahia matumaini mapya baada ya kuona tena huku wakitoa shukrani zao za dhati kwa Ras Dkt. Samia Suluhu Hassan Pamoja Mkuu wa mkoa huo kwa upendo huo waliowanyesha.



Huduma hiyo ilianza kutolewa tarehe 13 Aprili na itahitimishwa 22 Aprili, 2025


Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • KARIBU ARUSHA Mhe. KENAN LABAN KIHONGOSI MKUU WA MKOA WA ARUSHA

    June 26, 2025
  • KARIBU ARUSHA Mhe. KENAN LABAN KIHONGOSI MKUU WA MKOA WA ARUSHA

    June 26, 2025
  • SIKU YA KWANZA; WAKAZI WA ARUSHA WAJITOKEZA KWENYE KAMBI YA MADAKTARI BINGWA NA MABINGWA WABOBEZI

    June 23, 2025
  • RC MAKONDA ASHIRIKI MARATHON YA KKKT 2025

    June 21, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.