• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

ACHENI KUUZA MADAWA KWENYE MAGARI

Posted on: February 9th, 2022

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Arusha  bwana David Lyamongi amewataka wadau wote wanashughulika na biashara ya madawa, vifaa tiba na vifaa tenganishi kutumia mazingira  bora ya biashara na watalaamu  waliobobea ili kulinda Afya za wananchi.

Bwana Lyamongi ameyasema hayo alipokuwa akifungua kikao kazi cha, wauzaji wa madawa, vifaa tiba na tenganishi kutoka Mkoa wa Arusha, kilichoandaliwa na Mamlaka ya dawa na vifaa tiba (TMDA).

Vilevile ametoa onyo kali kwa wale wote wanauza dawa kwenye magari kwani hawafuati taratibu, kanuni na Sheria za madawa na hivyo kuhatarisha Afya na uhai wa watu  hivyo wachukuliwe hatua kali dhidi yao.

Pia,ameitaka mamlaka ya dawa na vifaa tiba kuwachukulia hatua kali wale wote wanakiuka Sheria,kanuni na taratibu za madawa na vifaa tiba.

Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa Vones Uwiso ameitaka mamlaka ya madawa na vifaa tiba kuendelea kutoa elimu zaidi katika Jamii ili kukuza ufahamu.

Aidha amewataka waongeze nguvu zaidi katika usimamizi ili kulinda Afya za wananchi.

Meneja wa Kanda mamlaka ya madawa na vifaa tiba bwana Proches Patric, amesema swala la kumlinda mwananchi linatakiwa litoke ndani ya Moyo wa mtu.


Mamlaka ya madawa na vifaa tiba Kanda ya Kaskazini imefanya kikao na wadau wa madawa, vifaa tiba na vifaa tenganishi ili kufafanua zaidi juu ya Sheria, kanuni na taratibu za ufanyaji kazi katika sekta hiyo.



Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MONGELLA AWATAKA WAKANDARASI WA UMEME KUWASILISHA MIPANGO KAZI YAO.

    January 28, 2023
  • KUMBUKIZI YA SIKU YAKUZALIWA MHE.DKT.SAMIA SULUHU HASSAN

    January 27, 2023
  • MAFANIKIO SEKTA YA ELIMU ARUSHA YAWA KIVUTIO KWA MAAFISA ELIMU KAGERA

    December 29, 2022
  • MPANGO WA m- mama WAZINDULIWA

    December 19, 2022
  • Angalia Zote

Video

THE ROYAL TOUR
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa