• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RAS ARUSHA AKAGUA MRADI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA KATA YA SEELA SING'ISI...

Posted on: November 29th, 2023

.Katibu Tawala mkoa wa Arusha, Missaile Albano Musa, ametembelea na kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa shule mpya ya Sekondari kata ya Seela Sing'isi, halmashauri ya Meru.


Katibu Tawala huyo, amemuagiza Mkurugenzi Mtendaji, halmashauri ya Meru,  uongozi wa kukamilisha mradi huo kabla ya tarehe 10 Desemba, 2023, na kuahidi kurudi kukagua mara baada ya tarehe hiyo kufika.


"Ninakuagiza Mkurugenzi na timu yako, hakikisheni mradi huu, unakamilika kabla ya tarehe 10 Desemba, ukiwa na ubora unaozingatia thamani ya pesa, na kukiwa na samani zote zilizoelekezwa kwenye mradi". Amesisitiza Musa.


Akiwasilisha taarifa ya mradi huo, Mkuu wa shule ya Sekondari Sing'isi, Mwl. Datus Muganga, amesema kuwa, mradi huo unatekelezwa na Serikali kwa gharama ya shilingi milioni 584.2, kupitia mpango wa kuboresha Miundombinu ya Elimu Sekondari nchini (SEQUIP).


Ameongeza kuwa, mradi unajumuisha ujenzi wa Jengo la Utawala, vyumba 8 vya madarasa, Maabara tatu za masomo ya Sayansi, Maktaba, Chumba cha TEHAMA na matundu ya vyoo vya wavulana, wasichana na wenye mahitaji maalum, tanki la kuhifadhia maji na kichomea taka.


Awali, Ujenzi wa majengo ya shule za sekondari nchini, licha  ya kuwa na mazingira rafiki na wezeshi yatakayopunguza kupunguza msongamano wa wanafunzi shuleni, zaidi ni maandalizi ya kupokea wanafunzi watakaopangiwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2024


Ikumbukwe kuwa, uboreshaji wa miundombinu ya shule za serikali, ni utekelezaji wa Ilani ua chama cha Mapinduzi ya mwaka 2020 - 2025

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa