• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WANANCHI WATAHADHARISHWA KUWA MAKINI NA KABLA YA KUSAINI FOMU ZA MIKOPO KUTOKA TAASISI ZA FEDHA

Posted on: November 22nd, 2023

Na Elinipa Lupembe.


Wananchi wametahadharishwa kuwa makini na fomu wanazopewa na taasisi zinazokopesha fedha, kabla ya kuzisaini na kupewa mkopo


Rai hiyo, imetolewa na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu  Lameck Mchemba, kabla ya kumkaribisha Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa, kufungua rasmi Maadhimisho ya 3 ya Wiki ya Huduma za Kifedha yanayofanyika mkoani Arusha, kwenye viwanja vya Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha.


Mhe. Mwigulu ameweka wazi kuwa, kumekuwa na kawaida ya watu, wanapohakikishiwa kupata mkopo, husaini fomu za mkopo,  bila kusoma vizuri, masharti ya mikopo wanayoichukua na kuelewa vema kilicoandikwa kwenye mkataba huo, jambo ambalo limewaingiza watu wengi kwenye migogoro,  pale wanapokwama au kushindwa kurejesha mikopo hiyo.


Amesistiza kuwa licha ya kwamba mikopo ni muhimunkatika amendeleo ya kiuchumi kwa mtu yoyote,  ni vema kuchukua hatua kwa kusoma vizuri na kuelewa masharti ya mkopo kabla ya kusaini na kukopeshwa fedha na kuzitaka taasisi za kifedha kukaa na wateja wao na kuwaelewesha taratibu masharti ya mikopo kabla ya kuchukua.


"Watu wengi wakihakikishiwa kupata mkopo, huenda moja kwa moja kwenye jina na saini na kusaini fomu ya mkopo, bila kufahamu vema ,masharti ya mkopo, kupitia elimu inayotolewa hapa, tuanze kubadilika na kujifunza kusoma na kuelewa masharti ya mkopo, jambo ambalo litatoa fursa ya kufanya maamuzi sahihi.


Anamary James, amesema kuwa, mara nyingi fomu za mkopo huandikwa kwa lugha ya kiingereza jambo ambalo huwafanya wengi wao kushindwa kuelewa kilichoandikwa kutokana na kutokuifahamu lugha hiyo na kuomba fomu hizo kuandikwa kwa lugaha ya Kiswahili inayofahamika kwa watanzania wengi.


"Fomu za mkopo, zinaandikwa kingereza, sisi wajasiriamali hatujui kingereza, na tukifika kwenye mkopo, watalamu wanatuelezea mambo mepesi mepesi kumbe ndani, imendikwa masharti magumu ambayo bila kujua tunajikuta tusaini" Anamary


Jane Shayo,ameomba serikali kusimamia kubadili lugha kwenye fomu za mikopo na kuandikwa kwa lugha rahisi ya Kiswahili ili wakopaji, waweze kufanya maamuzi sahihi.


"Sisi wajasiriamali, hatushindwi kurejesha mikopo, kwa sababu tunafanya biashara, tatizo ni masharti magumu yanayoandikwa kwa Kingereza, lugha ambayo wengi wetu hatuifahamu vizuri, tunaomba serikali itusaidie, fomu za mkopo ziandikwe kwa lugha yetu ya Kiswahili" Amesema Jane.


Kauli mbiu ya Maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Kifedha, ni  “Elimu ya Fedha, Msingi wa Maendeleo ya UUchumi


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa