• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WATUMISHI NGORONGORO WATAKIWA KUONGEZA BIDII KATIKA KAZI

Posted on: March 6th, 2024


Na Elinipa Lupembe 


Watumishi halmashauri ya Ngorongoro, wametakiwa kuongeza bidii katika kufanya kazi ya kuwahudumia wananchi, kwa kuwa Serikali imewawekea mazingira mazuri ya kufanyia kazi, kwa kujenga Jengo la kiasa la Halmashauri hiyo.


Rai hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Arusha, Loy Thomas Ole Sabaya, mara baada ya kukagua mradi wa ujenzi wa jengo la Utawala Halmashauri ya Ngorongoro, mradi unaotekelezwa na Serikali kwa gharama ya shilingi Bilioni 3, na tayari jengo hilo limeanza kutumiwa na watumishi hao.


Mwenyekiti Sabaya ameweka wazi kuwa, Serikali ya awamu ya sita imefanya mabadiliko makubwa katika sekta zote, kwa kutekeleza miradi ya maendeleo nchi nzima,miradi inayowagusa watanzania wote, na kusisitiza kuwa miradi hiyo, imewafikia takribani wakazi wote wa Ngorongoro, wakiwemo watumishi wa Serikali.


 Amewapongeza watumishi hao, kwa kujitoa kufanya kazi na kuweka wazi kuwa, Serikali imewekeza fedha nyingi kujenga jengo hilo, ikiwa na mategemeo makubwa kutoka kwa watalamu wa halmashauri ya kutoa huduma bora kwa wananchi zinazokwenda sambamba na kutatua kero zinazowakabili wananchi wa Ngorongoro.


"Ngorongoro ya sasa sio ile ya zamani tunayoifahamu,  yapo mabadiliko makubwa sana ya kimaendeleo, mabadiliko ambayo na nyinyi watumishi mnahusika katika kuibadilisha Ngorongoro, tumieni jengo hili kurejesha fadhila kwa Serikali ya kuwahudumia wananchi, Serikali ina matarajio makubwa kutoka kwenu" Amesema Mwenyekiti huyo.


Hata hivyo, Mkurugenzi Mtendaji, halmashauri hiyo, Nassor Shemzigwa, ameishukuru Serikali ya awamu ya sita chini ya Jemadari Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwezesha mazingira bora na salama kwa watumishi na kuahidi kuwasimamia watalamu wote, kuongeza kasi ya kufanya kazi, ya kutoa huduma bora na endelevu kwa wananchi kisekta ili kufikia malengo ya Serikali.


#ArushaFursaLukuki




                        
                       
                        </div>
                        <!-- /.right-sidebar-content -->
                        <!--/END RIGHT SIDEBAR CONTENTE SECTION-->
                    </div>



<div class=

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa