Posted on: January 19th, 2022
Waziri wa nchi, ofisi ya makamu wa Rais Muungano na mazingira Mhe. Dkt.Seleman Jaffo amewataka wananchi wa wilaya ya Arumeru kuendelea kutunza vyanzo vya Maji kwa kupanda miti inayotunza Maji.
Amey...
Posted on: December 22nd, 2021
Waziri wa Afya, maendeleo ya jamii, Jinsia, wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima amewahasa wananchi kuchukua tahadhari zote za kujikinga na ugonjwa wa UVIKO 19 hasa katika kipindi hiki cha sikukuu.
...
Posted on: December 21st, 2021
Mkoa wa Arusha umepewa dhamana ya kusimamia maadhimisho ya mpango harakishi na shirikishi awamu ya pili ya uhamasishaji na utoaji wa chanjo ya UVIKO 19 Kitaifa.
Akizungumza katika semina elekezi kw...