• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

SHERIA NDOGONDOGO ZITUNGWE ZAKUWAFANYA WANANCHI WAPANDE MITI KWENYE MAKAZI YAO-RC KIMANTA

Posted on: April 1st, 2021

Halmashauri za Mkoa wa Arusha zimetakiwa kutunga sheria ndogondogo zitakazo wataka wananchi wapande miti katika maeneo ya makazi yao ili kulinda uwoto wa asili ambao umeeza kutoweka.

Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Iddi Hassan Kimanta alipowaongoza wananchi wa wilaya ya Arumeru katika zoezi la upandaji Miti katika shule ya msingi Tuvaila kata ya Maji ya chai.

Amesema upandaji Miti ni muhimu kwa utunzaji wa Mazingira yetu na hasa kupambana na mabadiliko ya tabia nchi.

Aidha, Kimanta amesema maeneo yote yaliyopandwa Miti katika Mkoa wa Arusha atayafuatilia ili kuona kama miti hiyo ipo au haipo hivyo ni wajibu wa wenyeviti wa vijiji na mwenyeviti wa kamati za mazingira kusimamia.

Ikibainika maeneo hayo Miti haikuota  basi viongozi hao watachukuliwa hatua.

Amesema Miti inafaida kubwa sana ikiwemo katika vyanja ya uchumi na utunzaji wa Mazingira.

Akitoa salamu za Wilaya hiyo kwa niaba ya wananchi, Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe. Jerry Muro amesema, wilaya hiyo inaendelea kuenzi utamaduni wa kupanda Miti katika maeneo mbalimbali ilikutunza mazingira.

Amesema uongozi wa Wilaya umekuwa ukiwachukulia hatua kali wale wote wanavunja sheria za utunzaji Mazingira kwani kwa kufanya hivyo kumeweza kusaidia kupunguza ukataji wa Miti kiholela katika Wilaya hiyo.

Maadhimisho ya siku ya upandaji Miti, hufanyika kila mwaka Aprili Mosi na kwa mwaka huu maadhimisho hayo yamefanyika Kimkoa katika Wilaya ya Arumeru na jumla ya Miti 600,000 ilipandwa sambamba na kauli mbiu isemayo “Panda Miti kwa uhifadhi wa Mazingira, Maendeleo ya Viwanda na kuimarisha Uchumi”.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO KIDATO CHA NNE,KIDATO CHA PILI NA DARASA LA NNE. January 15, 2021
  • KERO ZA WANANCHI KUSIKILIZWA KILA SIKU July 14, 2020
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • ONGEZENI UFAULU WA SHULE ZA MSINGI-RC KIMANTA

    April 19, 2021
  • WATOTO CHINI YA MIAKA 5 KUPATIWA VYETI VYA KUZALIWA BURE

    April 16, 2021
  • JAJI MKUU-YAFAHAMUNI MABORESHO YA MAHAKAMA

    April 15, 2021
  • ZIARA YA WAZIRI WA ULINZI FALME ZA KIARABU

    April 08, 2021
  • Angalia Zote

Video

JIUNGENI NA BIMA YA AFYA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Sanduku la Barua: 3050 Arusha

    Simu: 27 254 5608

    Simu Nyingine: 027 254 4950

    Barua Pepe: ras@arusha.go.tz

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa