• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

ARUSHA KUPATA BANDARI KAVU

Posted on: January 28th, 2019

Mamlaka ya usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) Tanga imesema inasogeza huduma zake karibu na wateja wake wa Mkoa wa Arusha kwa kujenga bandari kavu maeneo ya King’ori.

Akisoma taarifa ya maendeleo ya bandari ya Tanga  kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha msimamizi wa bandari hiyo  bwana Percival Ntetema,amesema huduma za bandari ya Tanga zimeimarika sana kwa sasa na bandari hiyo inaongoza kwa kutoa mizigo haraka kwa upande wa Afrika Mashariki.

Amesema ilikuongeza ufanisi zaidi Bandari ya Tanga itashirikiana na mamlaka ya Reli Tanzania kufufua reli ya Tanga hadi Arusha ili kupanua wigo zaidi wa usafirishaji mizigo kwa wafanyabiashara wa Arusha na mikoa jirani.

Nae Mkurugenzi Mkuu wa mamlaka ya Bandari Tanzania ing. Deusdedit Kakoko amesema, mamlaka inaanzisha mtandao wa pamoja wa mawasiliano katika mamlaka na pia kutakuwa na mtandao wa nchi nzima wakusimamia makusanyo ya mapato kwa taasis husika.

Kakoko amesema hali hii itasaidia kuondoa au kumaliza kabisa urasimu uliopo kwa sasa katika bandari za nchi hii na pia mtandao huu utamrahisisha mteja kufanya malipo kwa haraka na urahisi na hivyo kuokoa mda wa mizigo kukaa bandarini.

Aidha, Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo ameishauri mamlaka ya Bandari Tanzania kuhakikisha inajitaidi kumaliza kero zinazotolewa na wateja wao hususani urasimu kwa kuanzisha mfumo wa makusanyo ya pamoja kwa taasis husika.

Mmlaka ya Bandari Tanzania imekutana na kufanya kikao na baadhi ya wafanyabiashara kutoka Mkoa wa Arusha kwa lengo la kusikiliza na kuchukua maoni ya namna ya kuboresha huduma katika bandari za Tanzania. a

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA MIAKA 2 YA MAMA SAMIA AKIWA MADARAKANI

    March 19, 2023
  • BONANZA LA MIAKA MIWILI YA MAMA SAMIA

    March 18, 2023
  • UZINDUZI WA KITABU CHA MIAKA MIWILI YA DKT.SAMIA

    March 14, 2023
  • TUMERIDHISHWA NA MIRADI-KAMATI YA SIASA MKOA

    March 09, 2023
  • Angalia Zote

Video

THE ROYAL TOUR
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa