• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

AWAMU YA SITA IMEFANYA MABORESHO MAKUBWA SEKTA YA ELIMU MKOA WA ARUSHA; WALIMU WAPONGEZWA...

Posted on: September 17th, 2025

Imeelezwa kuwa, Serikali ya awamu ya sita imefanya mapinduzi makubwa kwenye sekta ya elimu mkoa wa Arusha, kwa kutoa fedha kiasi cha shilingi Bilioni 267 kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli za elimu pamoja na ujenzi wa miundombinu ya shule.

Hayo yamesemwa na Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Missaile Albano Musa, akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa huo, Mhe.CPA Amos Makalla @amosmakalla, kwenye Kongamano la Wadau wa Elimu kuelekea Juma la Elimu Mkoa wa huo, lililofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano Ofisi ya Mkuu wa Mkoa huo leo Septemba 17,2025.


Katibu Tawala Missaile amesema kuwa, mafanikio ya Serikali ya awamu ya sita, katika sekta ya elimu yamechagizwa na juhudi, uwajibijikaji na weledi wa walimu, ambao ndio wasimamizi wa shughuli zote za elimu shuleni ikiwemo usimamizi wa ujenzi wa miundombinu yote inayofanyika shuleni.


Ameweka wazi kuwa, kwa miaka minne ya Dkt.Samia Mkoa wa Arusha umepokea shilingi Bilioni 267 huku Bilioni 107.08 zikitumika kwenye uboreshaji wa miundombinu ya shule, miradi ambayo imefanya mapinduzi makubwa kwenye shule za sekomdari na msingi ikiwa ni pamoja na ongezeko la idadi ya wanafunzi na kupandisha kiwango cha taaluma shuleni.


"Niwahakikishie licha ya walimu kusimamia taaluma shuleni, wameweza pia kusimamia miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwenye shule zao, ninawapongeza sana kwa kazi kubwa, iliyoleta heshima kwa Serikali yetu, niwasihi walimu kubadilika kulingana na mabadiliko ya teknolojia, jiwekeeni mipango ya kujiendeleza kimasomo ili muendane na wakati, fanyeni kazi kwa bidii na weledi ili kufikia malengo ya Serikali". Amesema Missaile


Hata hivyo walimu wa Mkoa wa Arusha, hawakuwa nyuma kuipongeza Serikali,  kwa kuboresha miundombinu ya shule,  jambo ambalo licha ya kuongeza ari ya wanafunzi kusoma inawapa urahisi walimu katika ufundishaji na ujifunzaji wa wanafunzi.


Mwenyekiti wa TAHOSA Mkoa wa Arusha Mwl. Omari Nyangu amesema kuwa, maboresho katika sekta ya elimu yamewaondolea wazazi adha ya kuchangia ujenzi wa madarasa jambo ambalo limeongeza hamasa ya wazazi kupeleka watoto shule.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKALLA: UFUNGUZI TAWI LA CRDB NAMANGA UTACHOCHEA BIASHARA NA UCHUMI WA WANANCHI WA MPAKANI ..

    September 26, 2025
  • RC MAKALLA ATAKA MPANGO MKAKATI WA UTALII UKIJUMUISHA FURSA NA MAANDALIZI YA AFCON 2027...

    September 25, 2025
  • WANANCHI WALIOLALAMIKIA MGAO WA MAJI WAFURAHIA UJENZI WA TENKI JIPYA LA MAJI...

    September 24, 2025
  • RC MAKALLA: ARUSHA ITAENDELEA KUWA NA AMANI SASA NA HATA  BAADA YA UCHAGUZI...

    September 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa