• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

DC ARUMERU ATOA SALAMU ZA MKOA WA ARUSHA KWENYE MKUTANO WA 21 WA TAASISI ZA FEDHA.

Posted on: March 7th, 2024


Na Elinipa Lupembe 


Mkuu wa wilaya ya Arumeru Mhe. Emmanuela Mtatifikolo Kaganda akitoa salamu za Mkoa wa Arusha kwa niaba ya Mkuu wa mkoa huo, wakati wa Mkutano wa 21 za Taasisi ya Fedha, unaofanyika kwenye Kituo cha Mikutano ya Kimataifa Arusha (AICC) Ukumbi wa Simba jijini Arusha, leo Machi 7, 2024.


Mhe. Emmanuela ametumia fursa hiyo kuwashukuru waandaaji wa mkutano huo, Benki Kuu ya Tanzania na Jumuiya ya Umoja wa Mabenki nchini, kwa kuichagua Arusha kufanyika Mkutano huo wa 21, mkutano ambao amekiri kuwa muhimu sana kwenye sekta ya fedha.


Aidha amemshukuru Makamu wa Rais, Mhe. Dkt.Isdori Mpango kwa jitihada kubwa zinafanywa na Serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hasani za kuchochea maendeleo ya sekta ya fedha na ukuaji wa uchumi nchini. 


Mkutano huu unadhihirisha vipaumbele vya serikali katika kuweka mazingira wezeshi ya kuimarisha ukuaji wa uchumi, ikiwemo sekta ya fedha, hasa nyakati zenye changamoto za kiuchumi, ikiwa ni pamoja na kuweka sera nzuri na shirikishi zitakazofanya sekta binafsi ikue vile vile" Ameweka wazi Mkuu wa wilaya huyo.


Hata hivyo, hakusita kuwakaribisha wageni wetu wote mkoa wa Arusha, ambo ni kitovu cha utalii nchini, na kuwasihi watumie wakati huo kujionea na kufurahia vivutio mbalimbali vilivyopo kama Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro ambayo ambayo ni sehemu ya urithi wa dunia, Hifadhi ya Taifa ya Tarangire, Mlima Meru na Oldonyo Lengai, kilimo cha bustani na matunda, uoto wa asili, hoteli za kitalii pamoja na tamaduni za makabila mbalimbali yanayopatikana kwenye mkoa wetu wakiwemo Wamaasai.


Mkutano huo wa siku mbili, ulioandaliwa Benki Kuu ya Tanzani kwa kushirikiana  Benki na Jumuiya ya Umoja wa Mabenki,  Mada kuu ikiwa ni Kuimarisha Ustahimilivu wa Sekta ya Fedha Nyakati za Changamoto za Kiuchumi.


#arushafursalukuki 




                        
                       
                        </div>
                        <!-- /.right-sidebar-content -->
                        <!--/END RIGHT SIDEBAR CONTENTE SECTION-->
                    </div>



<div class=

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa