• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

DCEA YATOA MAFUNZO KWA WANAFUNZI NA WALIMU JUU YA KUPAMBANA NA KILIMO CHA ZAO HARAMU LA BANGI...

Posted on: October 21st, 2023



Na Prisca Libaga Arusha

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini (DCEA) Kanda ya Kaskazini imetoa mafunzo maalumu ya kudhibiti madawa ya kulevya kwa wanafunzi  1,141 na walimu 45 kutoka katika shule ya sekondari ya Kisimiri Wilayani Arumeru Mkoani Arusha.

Elimu hiyo imetolewa baada ya Mamlaka Kanda ya Kaskazini kufanya oparesheni katika kijiji cha Kisimiri na kukamata magunia ya bangi 237 na mbegu 310 yaliyoteketezwa juzi wilayani Arumeru.

Mafunzo hayo yametolewa na mamlaka hiyo kwakushirikiana na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) wilayani Arumeru Dorin Muhanika na Ofisa Ustawi wa Jamii kutoka Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Kanda ya Kaskazini, Sara Ndaba walisema elimu hiyo itakuwa chachu kwa wanafunzi, walimu na wanakijiji wanaoishi eneo hilo kushiriki katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya.

Muhanika amewataka wanafunzi wa shule hiyo kutokujihisisha na rushwa ya ngono pamoja na matumizi ya madawa ya kulevya aina ya bangi kwa kuwa vina madhara mengi ikiwemo magonjwa ya kuambukiza.

Huku Ofisa Ustawi wa Jamii ,Sarah Ndaba ametoa rai kwa wanafunzi hao kutokutumia madawa ya kulevya ili waweze kutimiza ndoto zao na kuwaondoa kwenye fikra za rushwa na matumizi ya madawa hayo ya kulevya.

“Kunamadhara mengi ukitumia madawa unaweza kupoteza uwezo wa kufanya kazi ,kutokupata usingizi kudharaulika katika jamii vifo ,kufukuzwa shule kufeli mitihani na hata kufungwa kifungo cha maisha jela”

Angel Mlay ni moja kati ya wanafunzi wa shule hiyo ambapo amesema watakuwa mabalozi na kuwaelimisha wazazi wao ndugu ,jamaa na marafiki kuwa endapo watakamatwa wakijihusisha na kilimo,uuzaji au matumizi ya dawa hizo za kulevya watafungwa jela miaka 30 au kifungo cha maisha jela.

Mwisho.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa