• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

FUFUENI VITENGO VYA KUDHIBITI MIMEA-MAJALIWA

Posted on: March 5th, 2021

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Kilimo kufufua kitengo cha kudhibiti mimea ili kiweze kusimamia majanga mbalimbali yanayoweza kujitokeza katika nchi.

Ameyasema hayo alipokuwa akikagua eneo lililovamiwa na Nzige katika kata ya Engaruka wilayani Monduli.

Amesema kufufuliwa kwa Kitengo hicho kutasaidia kuongeza nguvu katika mapambano dhidi ya Nzige,ambayo kwa sasa yanaendelea vizuri na baadhi ya maeneo Nzige wameisha.

“Wananchi toeni taarifa pindi mkiona nzige katika maeneo yenu, ili serikali ichukue hatua za haraka kudhibiti.”

Majaliwa amesisitiza ushirikiano uwendelee katika kupambana na janga la Nzige hasa na nchi jirani.

Akitoa taarifa ya hali ya mapambao ya Nzige katika mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara Waziri wa Kilimo Profesa Adolf Mkenda amesema, Nzige kwa mara ya kwanza waliingia nchini katika wilaya ya Simanjiro na wakadhibitiwa wote na mara ya pili waliingia wilayani Longido.

Kwa sasa wilaya za Simanjiro, Siha na Mwanga Nzige wamedhibitiwa wote na katika Wilaya ya Longido tathimini itatolewa ili kufahamu kama Nzige hao wameisha au bado pia nae neo la Engaruka.

Profesa Mkenda amesema zoezi la kupambana na Nzige limeenda vizuri kwasababu kulikuwa na ushirikiano mziuri sana baina ya Serikali, wananchi na hata nchi Rafiki kama Zambia, Uganda na Zimbabwe.

Amesema zoezi kubwa lilipo kwa sasa ni wataalamu wanaendelea kufuatilia yale maeneo ambayo Nzige wanahisiwa waloitaga mayai ili waweze kuyaangamiza kabla hayajakomaa na kutoa Nzige wapya.

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Iddi Kimanta Pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Manyara Joseph Mkirikiti na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mgwira wamesema zoezi la kuwaangamiza Nzige katika Mikoa yao limekuwa rahisi kwasababu wananchi wametoa ushirikiano mkubwa sana hasa kwa kutoa taarifa pale wanapohisi kuna uvamizi wa Nzige katika maeneo yao.

Mhe. Majaliwa ameridhishwa na namna zoezi la kupambana na Nzige lilivyofanyka katika Mikoa hiyo mitatu ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara na amewata wataalamu kuendelea kufuatilia uvamizi huo wa Nzige katika maeneo mbalimbali ya Nchi.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa