• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA KLINIKI YA REJESHA HAKI ARUSHA

Posted on: May 16th, 2024

Migogoro ya ardhi, changamoto za mirathi, Wananchi kutokulipwa mafao pamoja na mikopo umiza ni changamoto kubwa zaidi zilizojitokeza wakati wa Kliniki maalum ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi wa mkoa wa Arusha, kliniki iliyofanyika Mei 08-10 mwaka 2024.


Mhe. Mkuu wa Mkoa kwa kushirikiana na wasaidizi wake na wanasheria kutoka Chama cha Wanasheria wa Tanganyika TLS walitatua kero na migogoro zaidi ya 200 huku kero nyingine zikitolewa maelekezo ya utatuzi wake kwa vyombo vya Dola pamoja na mamlaka nyingine za Serikali.


Mhe. Mkuu wa Mkoa anasema kliniki hiyo imemsaidia kutambua changamoto zinazowakabili wakazi wa Arusha pamoja na kuanza kuzitafutia ufumbuzi wa kudumu hasa migogoro ya ardhi kwa kutafiti na kuchukua hatua kwa watu ama mifumo inayozalisha changamoto na kero hizo zinazowaumiza na kuwatesa wananchi.


Mkuu wa Mkoa Mhe. Paul Christian Makonda pia amenukuliwa akisema Kliniki hiyo imeisaidia serikali kuelewa na kuwafahamu wasaidizi mbalimbali wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan na vile ambavyo wanawatumikia wananchi.


Tayari Mhe. Mkuu wa Mkoa ametangaza kuanza kwa ziara yake ya kuwasikiliza wananchi wa wilaya zote za Mkoa wa Arusha, ziara inayotarajiwa kuanza Mei 20 mwaka huu, akiwataka wananchi wenye kero mbalimbali kujitokeza kwa wingi kwenye mikutano yake ya hadhara kulingana na atakavyopangiwa.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa