• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

JAFO AFANYA ZIARA LONGIDO

Posted on: November 14th, 2018

Waziri ofisi ya Rais tawala za mikoa na serikali za mitaa mheshimiwa Selemani Jafo amezitaka wilaya zote nchini kuanza mara moja ujenzi wa hospitali za wilaya.

Ameyasema hayo alipotembelea hospitali ya Longido na Eworendeke wilayani Longido mkoani Arusha na kufurahishwa na ujenzi unavyoendelea.

“Serikali kwa sasa imeshatoa milioni 500 za ujenzi wa hospitali ya wilaya ya Longido na mpaka ikamilike itaitaji kiasi cha shilingi bilioni 1.5, hivyo kwa fedha hizo zinatosha kuanza ujenzi”, alisema.

Amesema amefurahishwa sana na ujenzi wa hospitali zote katika mkoa wa Arusha kwa kiwango kikubwa na ameshawishika kuona hata pia ujenzi wa hospitali za wilaya utakuwa mzuri.

Ameagiza hadi kufikia Novemba 14, 2018, ujenzi wa hospitali ya wilaya ya Longido uwe umeshaanza kwa kufuata mchoro wa ramani uliotolewa na TAMISEMI ili hospitali zote za wilaya nchini ziwe na mfanano.

Aidha, amewahasa wahandisi kuhakikisha wanasimamia ujenzi kwa umakini kwani amebaini baadhi yao hukaa maofisini mda mwingi badala ya kwenda kusimamia ujenzi.

Ameziagiza wilaya zote nchini kufikia Novemba 30, 2018 majengo yote yawe yamekamilika ili kuruhusu huduma za afya kuanza mara moja.

Nae Afisa Mtendaji kata ya Kimokouwa  Victa Kabati, amesema kituo cha afya cha Eworendeke kitakuwa msaada mkubwa sana kwa kutoa huduma ya afya kwa wananchi wa kata hiyo na eneo la Namanga kwa ujumla.

Wananchi wengi wa kata hiyo wamekuwa wakipata shida ya kupata huduma za afya na kuwalazimu kwenda hadi nchi ya jirani, lakini kwa kukamilika kwa kituo hicho wengi watakuwa wamesogezewa huduma karibu na kuondoa usumbufu wa kuzitafuta katika umbali mrefu.

Akitoa pongezi kwa serikali ya wilaya mwenyekiti wa kamati ya ujezi John Shinabaki, amesema ujenzi umeenda vizuri kwa kiasi kikubwa kwani fedha zilikuwa zinapatikana kwa wakati.

Amewataka wananchi wa kata ya Kimokouwa kushirikiana bega kwa bega na viongozi wa wilaya ili ujenzi ukamilike haraka na duhuma zianze kutolewa.

Waziri Jafo amefanya ziara ya siku moja mkoani Arusha katika wilaya ya Londigo kwa kukagua hospitali mbili za Longido na Eworendeke na kupongeza uongozi wa Mkoa wa Arusha kwa kusimamia ujenzi mzuri wa hospitali katika wilaya zote na kuzitaka wilaya nyingine kuiga mfano huo.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa