• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE TAMISEMI YAAGIZA USIMAMIZI THABITI WA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO....

Posted on: October 13th, 2023

Na Prisca Lubangwa


KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, imetoa rai kwa Ofisi ya Rais-TAMISEMI kuhakikisha inasimamia kwa weledi fedha zilizoletwa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa TACTIC ili uweze kukamilika kwa wakati na kuleta tija kwa wananchi.


Hayo yamesemwa jijini Arusha na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe Denis Londo wakati wa ziara ya kamati hiyo kukagua mradi wa Dampo (Muriet), uwanja wa michezo Ngarenaro, Barabara ya Oljoro-Muriet na Barabara ya Bypass Kisongo-Airport ambapo miradi hiyo inasimamiwa na Ofisi ya Rais-TAMISEMI.


Mhe Londo amesema Jiji la Arusha ni miongoni mwa maeneo yaliyobahatika kupokea fedha za mradi huo na hivyo kusisitiza kuwa ni vema fedha hizo zikatumika kwa weledi ili kutimiza azma ya serikali ya kuwahudumia wananchi wake.


” Arusha imebahatika kupata mradi huu ni matumaini yetu kuwa fedha hizi ambazo Rais wetu Dkt Samia Suluhu Hassan amezitafuta na kuzileta basi zisimamiwe kwa weledi ili ziweze kukamilisha miradi hii kwa wakati na kuleta tija kwa Taifa letu,” Amesema Mhe Londo.


Kwa upande wake Naibu Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe Deogratius Ndejembi ameiahidi kamati hiyo kuwa watahakikisha miradi hiyo inasimamiwa kwa weledi na kukamilika katika muda uliopangwa lengo likiwa kutimiza azma ya serikali ya awamu ya sita ya kuwahudumia wananchi wake.


MwMwish


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa