• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

KAMISHNA KIIZA ASHIRIKI ZOEZI LA KUELIMISHA WANANCHI WANAOTAKA KUHAMA KWA HIARI NGORONGORO.

Posted on: March 7th, 2024


Na Mwandishi wetu, Ngorongoro.


Kamishna wa uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) Richard Kiiza amefanya ziara katika baadhi ya vijiji vilivyoko ndani ya hifadhi ya Ngorongoro kukagua maendeleo ya timu ya uelimishaji na uandikishaji wa wananchi wa tarafa ya Ngorongoro wanaojiandikisha kuhama kwa hiari ndani ya hifadhi hiyo.


Akiwa kwenye ziara katika Vijiji vya Kayapusi na Oloirobi vilivyopo kata ya Ngorongoro, Kamishna Kiiza amekutana na moja ya timu inayoendelea na zoezi la uandikishaji na kuelezwa kuwa wananchi wameendelea kuhamasika na kujiandikisha kwa hiari hasa baada ya kupata elimu ya faida na hasara za kuishi ndani ya hifadhi na kupata taarifa za fursa lukuki za ndugu zao waliokwisha hama ndani ya hifadhi.


Akizungumza na baadhi ya wananchi aliokutana nao Kiiza amewaeleza kuwa Serikali hailazimishi mtu kuhama isipokuwa inamuelimisha hasara za kuishi ndani ya hifadhi ambapo sheria inazuia kufanya baadhi ya vitu ukilinganisha na mazingira anakoenda ambapo serikali imeboresha mazingira kwa kujenga miundombinu ya maji, shule, barabara, umeme, mawasiliano, eneo la malisho, minada na soko la maziwa.


Ameongeza kuwa wananchi ambao wangependa kwenda kuona maeneo yaliyoandiliwa na Serikali kabla ya kuamua kuhamia wana uhuru wa kufanya hivyo ili  kukagua maeneo yaliyoandaliwa katika vijiji vya  Msomera, Kitwai na Saunyi na serikali ipo tayari kuwapa ushirikiano.


“Serikali haiwezi kuwa na nia mbaya kwa watu wake, ndio maana inajenga miundombinu yote muhimu, inawapa wananchi wanaohama fedha za motisha zinazotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, sambamba na kuwapa fidia ya maendelezo waliyofanya wakiwa ndani ya hifadhi na kuwahamishia thamani na mifugo yao yote kwenda maeneo waliyochagua  kwa kufuata misingi ya sheria, kanuni na haki za binadamu” amefafanua Kiiza.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa