• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

KANDA YA KASKAZINI YATOKOMEZA MALARIA KWA KIWANGO CHA CHINI YA 1%.

Posted on: April 25th, 2021

Waziri wa Afya, Maendeleoya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto  Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, amewataka wananchi wote kuhakikisha wanaweka mazingira yao safi na salama wakati wote.


Ameyasema hayo katika maadhimisho ya siku ya Malaria Kitaifa Mkoani Arusha na akizindua mpango mkakati wa kudhibiti Malaria kwa Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara.


Dkt. Gwajima amesema njia liliyobora ya kupambana na Malaria ni kila mmoja kuchukua hatua za kupambana nayo ikiwemo kutumia vyandalua vyenye dawa, kunyunyuzia viwatilifu koko katika kuta za Nyumba.


Pia, kuuwa viwatilifu wadudu katika mazingira ya wananchi na wajawazito kutupia ASP.


Kiwango cha Malaria kimeshuka  kwa 50% kwa sasa nchini kwani mwaka  2015 kilikuwa 14.5%  na 2017 ni  7.5%.


Hivyo kufanya kiwango cha maambukizi kwa Tanzania bara ni 24.4%, hususani katika Mikoa ya Kigoma 24%, Geita 17%, Kagera na Mtwara 15%.


Mikoa ambayo inamaambukizi ya Malaria kwa kiwango cha chini ya 1% ni Arusha, Kilimanjaro, Manyara, Iringa na Njombe.


Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Iddi Hassan Kimanta amesema Mkoa wa Arusha umeweza kupunguza maambukizi ya ugonjwa wa Malaria kwa chini ya 1%  hadi kufikia mwaka 2020.


Aidha, idadi ya vifo vitokanavyo na ugonjwa wa Malaria vimepungua kwa 80% kutoka vifo 20 kwa mwaka 2015 hadi vifo 4 mwaka 2020.


Pia, idadi ya wagonjwa imepungua kutoka wagonjwa 15150 mwaka 2015 hadi 9314 mwaka 2020 sawa na punguzo la 35%.


Kimanta amesisitiza kuwa mpango mkakati wa Mkoa wa Arusha ni kutokomeza ugonjwa wa Malaria ifikapo mwaka 2030.


Maadhimisho ya siku ya Malaria Duniani huadhimishwa kila ifikapo Aprili 25 na kwa mwaka huu 2021 Kitaifa yamefanyika katika Mkoa wa Arusha na kuzindua mpango Mkakati wa kutokomeza Malaria nchini ifikapo 2025 kwa 3%.






Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa