• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

KATIBU TAWALA MKOA WA ARUSHA,NDG.RICHARD KWITEGA AONGOZA MAAZIMISHO YA SIKU YA KISUKARI DUNIANI

Posted on: November 17th, 2017


Katibu Tawala Mkoa wa arusha,Ndg.Richard Kwitega awaongoza Wakaazi wa Arusha katika maadhimisho ya siku ya Kisukari Duniani tarehe 14,Novemba,2017 katika Viwanja vya Makumbusho ya Azimio la Arusha



Katika hotuba yake, ndg.Kwitega aliwahasa Wakaazi wa Mkoa wa Arusha kuwa na tabia ya kupima afya zao mara kwa mara sambamba na kufanya mazoezi na kujiepusha na baadhi  ya vyachakula ambavyo vinachangia ugonjwa wa kisukari na shinikizo la damu.


 

Kwa mujibu wa taarifa ya Shirika la Afya Duniani (WHO) ya mwaka 2014,watu takribani 422 Duniani wanaugua ugonjwa wa kisukari, kati ya watu hao watu milioni 25 wanatoka bara la Afrika ambao ni nguvu kazi ya Taifa,na kueleza kuwa msingi mkuu wa maendeleo ya Taifa lolote Duniani ni afya ya watu wake,alieleza Kwitega.



"Lengo kuu la maadhimisho haya ya siku ya Kisukari Duniani ni kuendelea kukumbushana juu ya athari ya ugonjwa huu na kuhamasisha jamii kupima afya mara kwa mara ili kutambua mustakabari wa afya zetu,na endapo tukagundulika tumepata kisukari iwe rahisi kupata ushauri wa kitabibu namna ya kukabiliana nao". Aliongeza Kwitega


 

Naye,Mganga Mkuu wa Mkoa wa Arusha,Dr. Wonanji alieleza kuwa katika kuhakisha elimu inawafikia wananchi, Ofisi yake ilitenga siku mbili za upimaji wa magonjwa ya kisukari na Shinikizo la Damu bure kwa vituo vinne(4) katika jiji la Arusha. Vituo hivyo ni Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Mt.Meru, Kituo cha Afya Levolosi, eneo la Makumbusho ya azimio la arusha na kituo cha Ukumbi wa ABC, ambapo jumla ya waatu 1267 walipimwa kati yao wanaume walikuwa 649, na wanawake walikuwa 618. Watu 582 kati ya watu 1267 waligundulika kuwa na tatizo la shinikizo la damu na watu 84 waligundulika kuwa na tatizo la kisukari.



Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa