• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

KINANA AWATAKA WATANZANIA KUYAENZI MAISHA YA HAYATI EDWARD LOWASSA KWA KUWA WAZALENDO.

Posted on: March 24th, 2024


Na.Elinipa Lupembe.


Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi - Taifa, Komredi Abdulrahamani Kinana amewataka watanzania kuyaenzi maisha ya Hayati Edward Lowassa kwa kuwa, wazalendo pamoja na kuuenzi umoja wa kitaifa kwa kushirikiana.


Kinana ameyasema hayo wakati akitoa Salamu kwenye Ibada maalum ya shukrani iliyoandaliwa na Familia ya aliyekuwa Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Edward Ngoyai Lowassa, na kuwataka watanzania kuayenzi maisha yake kwa kuchapa kazi.


Amesema kuwa, Edward Lowassa alikuwa ni mzalendo na mchapa kazi na mwenye kusimamia yale aliyoyaamini, yanamanufaa na zaidi kwa manufaa ya wananchi na Taifa kwa ujumla wake.


"Tunapohubiriwa suala la uchapakazi Lowassa ni darasa la uwajibikaji, kwa kuwa alikuwa kiongozi mzalendo kwa Taifa hili la Tanzania,aliyependa kujituma na kuwajibika kwa maslahi ya Taifa" Amesema Kinana


Aidha, amewataka watanzania  wote kuendelea kuuenzi umoja wa kitaifa uliojengaka enzi na enzi kwa kushikamana bila kujali wala kuathiri tofauti za kiimani wala itikadi za kisiasa.


"Watanzani tuendelee kuimarisha undugu wetu kama watanzania huku tukiendelea kumtanguliza Mungu, kila mtu ana dini yake ila tunaamini Mungu mkoja, sisi ni wamoja tukimtegemea Mungu Nchi yetu itakuwa na Baraka". Amesema Kinana 


Awali, familia ya aliyekuwa Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Edward Ngoyai Lowassa imeandaa ibaada ya shukrani, kwenye kanisa la KKKT Usharika Monduli, inaada iliyoongozwa na Msaidizi wa Askofu KKKT Dayosisi ya Kaskazin Kati, Mchungaji Lareton Loishiye.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa