• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

MAAFISA RASILIMALI WATU WATAKIWA KUWAWEZESHA WATUMISHI KUWA WABUNIFU..

Posted on: November 4th, 2024

Na Elinipa Lupembe.

Maafisa Rasilimali watu afrika wamekumbushwa  kuwa, uongozi wa rasilimali watu katika sekta ya Umma ni zaidi ya kuajiri na kusimamia watumishi ni  kwenda mbali zaidi kwa kianda mazingira wezeshi kwa  wafanyakazi ikiwa ni pamoja na kukuza uwezo wao, kuvumbua, na kuleta mabadiliko chanya katika utendaki kazi.

Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Monduli  Mhe.Festo Shemu Kiswaga, wakati akitoa salamu za Mkoa wa Arusha kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa huo, Mhe.Paul Christian Makonda kwenye Mkutano wa 9 wa Mtandao wa Mameneja na Wasimamizi wa Rasilimali Watu katika sekta za Umma Barani Afrika 2024,  unaofanyika mkoani Arusha kwenye Kituo cha Mikutano ya Kimataifa Arusha (AICC) mapema leo Novemba 04, 2024.

Amesema kuwa, viongozi wetu wa rasilimali watu wanapaswa kuwa na mbinu za kisasa zinazojumuisha maarifa, uadilifu, na ufanisi katika kujenga watumishi wanaoweza kustahimili na kubadilika na changamoto zinazokwenda sambamba na mabadiliko ya teknolojia na mahitaji ya kiuchumi kwenye nchi za Afrika.

Aidha, amewakaribisha washiriki na wageni wote,  Arusha kwa kuwahakikishia usalama  wao na kuwa mkoa unajivunia kuwa wenyeji wa mkutano huo muhimu wenye lengo la kuimarisha uongozi na utawala bora, pamoja na uvumbuzi katika sekta ya Umma.

"Tunamshukuru Mhe. Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan alivyowekeza nguvu na fedha nyingi katika sekta ya Utumishi  na amekua mfano bora kwa watumishi wa Umma,  wanalipwa mishahara kwa wakati, wanapandishwa madaraja, wanapewa nafasi za kujiendeleza kimasomo pale inapohitaji jambo linalochochea watumishi kufanyakazi kwa bidii na kusukuma mbele gurudumu la amendeleo nchini" Ameweka wazi Mhe.Kiswaga


Kauli mbiu ya mkutano huo ni "Utawala Stahimilivu na Ubunifu; Kutunza Sekta ya Umma Ijayo Kupitia Uongozi wa Rasilimali Watu"





Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa