• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

MABENKI YAMETAKIWA KUANGALIA UPYA TOZO ZA RIBA ZA MIKOPO

Posted on: May 22nd, 2021

Serikali ipo tayari kukaa na wadau wa taasisi za kibenki ili kuona namna ya kuboresha huduma za kibenki hususani riba katika mikopo.

Yameelezwa hayo na Waziri wa fedha Mhe. Mwigulu Chemba alipokuwa akifungua mkutano  Mkuu wa 26 wa wanahisa wa benki ya CRDB, Jijini Arusha.

Amesema riba imekuwa kikwazo kikubwa kwa wananchi kushindwa kuchukua mikopo ya kufanyia maendeleo mbalimbali.

Riba kwenye mikopo ya watumishi pia imekuwa kikwazo kikubwa kwani mabenki mengi yanatoza riba ya juu na kuwaogopesha watumishi wa serikali kuchukua mikopo hiyo, ingali wao wanauhakika wakurudisha mikopo hiyo kutokana na dhamana ya ajira zao.

Aidha , Mhe. Mwigulu amesema serikali itaendelea kutoa elimu kwa wananchi juu ya hi umuhimu wa kuwekeza katika hisa kwani ndio uwekezaji wenye uhakika zaidi.

Wananchi wengi hawana uwelewa wa kutosha juu ya uwekezaji katika hisa ndio maana hata muamko bado upo chini sana ukilinganisha na nchi nyingine.

Pia,imeitaka Benki kuu ya Tanzani (BOT) kuhakikisha inaweka mazingira wezeshi kwa mabenki kifungua matawi mengi hasa katika nchi za nje ili kuongeza mzunguko wa fedha nchini na kukuza uchumi.

Akitoa taarifa fupi ya hali ya uwekezaji nchini Mwenyekiti wa bodi ya benki ya CRDB  Dkt. Ally Ally amesema, takribani watanzania 700,000 ndio wamewekeza katika hisa sawa na asilimia 1.25.

Aidha, Dkt Ally ameipongeza benki hiyo kwa kuweka mazingira mazuri kwa watanzania kuwekeza katika hisa kwani zaidi ya asilimia 80 ya hisa za benki hiyo zinamilikiwa na watanzania wenyewe.

Nae Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya CRDB bwana Abdul Majdi amesema, benki hiyo imekuwa miongoni mwa benki zinazofanya vizuri katika soko la hisa kwa sababu serikali imeweka mazingira mazuri ya uwekezaji.

Kwa sasa hisa moja ya benki hiyo inanunuliwa kwa shilingi 290 kutoka shilingi 95 kwa mwaka 2019.

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella ameipongeza benki ya CRDB kwa kuamua kufanya mkutano huo katika Mkoa wa Arusha kwani wangeweza kufanyia Mkoa wowote lakani wakachagua Mkoa wa Arusha.




Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa