• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

MBUNGE WA NGORONGORO AKABIDHIWA GARI LA WAGONJWA TOYOTA  LAND CRUSER - AMBULANCE..

Posted on: December 5th, 2023

*MAKABIDHIANAO*

Na Elinipa Lupembe


Mkuu wa mkoa wa Arusha, Mhe. John V.K Mongella amemkabidhi funguo za gari, aina ya Toyota Land Cruser - Ambulance, Mbunge wa Jimbo la Ngorongoro Mhe. Emmanuel Ole Shangay, wakati wa hafla fupi ya makabidhiano ya magari ya Afya, iliyofanyika kwenye viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha leo tarehe 05.12.2023.


Akikabidhi Magari hayo, Mkuu huyo wa mkoa, amewasihi viongozi wa ngazi zote, kusimamia utunzaji na matumizi sahihi ya vitendea kazi hivyo, ili viweze kufanya kazi iliyokusudiwa na Serikali ya kutoa huduma bora kwa wananchi na sio kinyume na hivyo, huku akiwasisitiza kutambua kazi kubwa inayofanywa na Serikali ya awamu ya sita chini ya Dkt. Samia Suluhu Hassani ya kufikisha huduma karibu na wananchi.


"Viongozi mnalo jukumu kubwa la kuhakikisha wananchi wanapata huduma stahiki, wafuatilieni watendaji wa Serikali katika maeneo yenu, hakikisheni utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi unawanufaisha wananchi, wananchi wanahitaji suluhu ya changamoto zao kupitia sisi, wahakikishieni utendaji wa serikali yao kwa vitendo" Ameweka wazi Mhe. Mongella.


Hata hivyo Mhe. Ole Shangay, ameishukuru serikali kwa kuzingatia umuhimu wa huduma za afya kwa wanachi wa Ngorongoro, ambao baadhi yao, wanaishi kwenye ameneo ambayo hayafikiki kwa wepesi na kusababisha wakati mwingije kushindwa kupata huduma stahiki kwa wakati.


Amesema kuwa, uwepo wa gari la dharura pamoja gari la Kliniki  tembezi,mitasaidia utoaji na upatikanaji wa huduma za afya kwa wakati, huku akiamini zitapunguza uwepo wa vifo visivyo vya lazima hususani kwa watoto na wanawake wajawazito ambao wanahitaji huduma za dharura na haraka wakati wote.


"Wapo watu walipoteza maisha Ngorongoro kwa kukosa ama kuchelewa kupata huduma za afya kwa wakati, kulikosababishwa na changamoto ya jiografia ya maeneo yetu, tunaamini uwepo na upatikanaji wa huduma za dharua utapunguza vifo visivyo vya lazima na wananchi wa Ngorongoro wataendela kuiamini serikali yao makini ya awamu ya sita, chini ya Dkt. Samia Suluhu" Ameweka wazi Mbunge huyo wa Ngorongoro


#ArushaFursaLukiki






Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa