• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

MHE. MARCO NG'UMBI TAARIFA YA WILAYA YA LONGIDO KWA RC MAKONDA

Posted on: May 23rd, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Longido, Mh. Marco Ngumbi, amemkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Arusha wilayani Longido alipofika kwa ajili ya ziara ya kikazi ya kukagua shughuli za maendeleo na hali ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo na  kumpa taarifa fupi ya wilaya hiyo,  mapema leo Mei 23, 2024 kwenye Ofisi za Mkuu wa wilaya hiyo.


Mhe. Ng'umbi licha ya kuwakaribisha wageni wote wakiongozwa na  Mhe.Makonda ameweka wazi kuwa, hali ya Usalama wilaya ya Longido ni shwari huku wananchi wote kwenye vitongoji 176, vijiji 50, kata 18 na Tarafa 4,  wakiendelea na shughuli zao za kila siku za kijamii na kiuchumi.


Amesema kuwa, kwa kipindi cha miaka mitatu, Serikali ya awamu ya sita huku akimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa kwa aliyoifanya kwa kutoa fedha kiasi cha shilingi Bilioni 44, fedha ambazo zimetekeleza miradi katika sekta za elimu, afya, maji,  kilimo, mifugo, umeme ambapo vijiji vyote 49 tayari vimefikiwa na umeme na awamu ya pili ambayo imeanza kupelekea kwenye vitongoji.


Hata hivyo mkuu wa wilaya hiyo, amemueleza Mhe.Makonda kuwa, katika ziara yake atatembelea jumla ya miradi mitatu yenye thamani ya shilingi Bilioni 17.1 na kuitaja miradi hiyo ni pamoja na mradi wa maji Sinya, ujenzi wa nyumba ya watumishi zahanati ya Leremeta, mradi wa shule mpya ya Sekondari ya wasicha Samia pamoja na kuzungumza na wananchi kwenye Mkutano wa Hadhara utakaofanyika kwenye viwanja vya shule ya msingi Namanga.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa