• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

MHE. MCHENGERWA; ARUSHA DC ZINGATIENI VIGEZO VYA KUWA MJI

Posted on: October 4th, 2024


@ortamisemi 



Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Mohamed Mchengerwa amewaelekeza viongozi wa Halmashauri ya Arusha kupitia Mkuu wa wilaya ya Arumeru na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha,  kuzingatia vigezo vilivyowekwa kisheria ili kupandisha hadhi Mamlaka ya Mji mdogo kuwa Mamlaka ya Mji.



Mhe. Mchengerwa ameyasema hayo wakati wa ziara yake ya kikazi kwenye Halmashauri hiyo ya kukagua shuguli za utekzlzaji wa miradi ya maendeleo pamoja na kuzungumza na viongozi na wannachi wa halmashauri hiyo Oktoba 02, 2024.



Amesema, "Nimepokea ombi lenu la kutaka kuanzisha Mamlaka ya Mji na hatimaye kuwa na Manispaa huko mbeleni lakini ninachoweza kuwashauri kwa sasa ni kuwa zingatieni vigezo na sifa za Halmashauri ya Mji na mkijitathimini kama mmekidhi wasilisheni mapendekezo hayo Ofisi ya Rais -TAMISEMI kwa ajili ya hatua zaidi"



“Kuwa na mamlaka ya mji mdogo sio kitu ninachopendekeza sana kwa sababu kwanza inahitaji kulelewa na Halmashauri ya Wilaya hivyo katika mapato yenu mtatoa fedha kwa ajili ya kuendesha mamlaka ya mji mdogo na kwenda kuwa Manispaa mtakua mmevuka hatua ya kuwa Mamlaka ya Mji kama mnadhani mna sifa hizo wasilisheni maombi yenu yakiwa yamepita kwenye vikao vyote muhimu na yakifika Ofisi ya Rais - TAMISEMI tutayachambua kama mmekidhi vigezo mtapa hadhi ya Mji, »amesema.



Aidha ameongeza kuwa changamoto zilizowasilishwa amezipokea hususan ikiwamo ya miundombinu ya barabara za lami na kuahidi kufanyia kazi.



Waziri Mchengerwa yupo kwenye ziara ya Kikazi mkoani Arusha na atatembelea Halmashauri ya Wilaya ya Arusha, Meru pamoja na Jiji la Arusha.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa