• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

MHE. RAIS AWATUNUKU MAAFISA WANAFUNZI 62 WA SHAHADA YA SAYANSI YA KIJESHI -TMA MONDULI

Posted on: November 18th, 2023

Na Elinipa Lupembe

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwatunuku Maafisa Wanafunzi 62 wa Kundi la 04/ 20 Shahada ya Sayansi ya Kijeshi ya Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi(TMA) Monduli Mkoani Arusha katika Mahafali ya nne tarehe 18 Novemba 2023 pamoja na kuwapa zawadi kwa Maafisa wanafunzi wawili, waliofanya vizuri zaidi kwa kundi hilo.

Maafisa Wanafunzi hao wamekuwa Maafisa wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), ambao Maafisa wapya kundi la 04/20 - BMC ni 62 wamepata mafunzo katika chuo hicho kwa muda wa miaka mitatu na kuhitimu Shahada ya Sayansi ya KKijeshi

"Nimetunuku  Kamisheni kwa Maafisa wanafunzi Kundi la 04/20 - Shahada ya Sayansi ya Kijeshi na Kundi la 70/22 (Regular) kwa Cheo cha Luteni Usu"

Aidha Amiri Jeshi Mkuu, amebainisha kufarijika zaidi kwa kuona Jeshi la Wanachi Tanzania,  likiendelea kupiga hatua kubwa za kimaendeleo na uwekezaji katika Taaluma ya Sayansi ya Kijeshi pamoja na Rasilimali watu.

"Weledi, nidhamu, uzalendo, unaongezeka siku hadi siku zinatupeleka katika hatua bora zaidi kwa faida ya Taifa letu tangu kuanzishwa kwa Jeshi la Wananchi  Tanzania  tarehe 01 Septemba, 1964, ni faraja na fahari kwa nchi yetu" Ameweka wazi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Samia Suluhu Hassan

Kabla ya kutunuku mafunzo hayo, Mhe. Rais amekagua gwaride la heshima, lililoandaliwa na Maafisa Wanafunzi hao kutokana na Maelekezo ya Mkuu wa Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli Brigedia Jenerali Jackson Jairos Mwaseba na kusimamiwa na Mkufunzi Mkuu Kanali Nilinda William Duguza.

Hata hivyo Mkuu huyo wa chuo, alitoa taarifa fupi ya mafunzo ya Maafisa hao wapya, amesema kuwa, chuo kinajivunia kwa mara ya kwanza kimewezesha mafunzo ya Shahada hiyo kwa kujisimamia pasipo ushirikiano wa kimafunzo na chuo cha Uhasibu Arusha IAA kama ilivyokuwa hapo awali 


Awali sherehe hizo za Maafali zilimefanyika kwenye Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli (Tanzania Millitary Academy – TMA) Mkoani Arusha, zikihudhuriwa na vongozi mbalimbali wa Kijeshi, viongozi wa Chama na Serikali, wageni waalikwa ndani na nje ya nchi, zilizosheheni burudani zilizowavutia watu wote.







Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa