• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

MWALIMU MKUU AVULIWA MADARAKA

Posted on: February 19th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Iddi Hassan Kimanta amemwagiza Afisa Elimu Mkoa bwana Halfan Omari Masukira kumvua madara ya ukuu wa shule mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi Irkaswa bwana Arbogastus Mushi na mwalimu wa taaluma kwa kushindwa kusimamia ufundishaji katika shule hiyo iliyopo Wilayani Longido.

Maelekezo hayo ameyatoa alipokuwa akizungumza katika kikao na Maafisa Elimu kutoka katika Halmashauri zote za Mkoa wa Arusha.

Kimanta amesema ni aibu kubwa sana kwa mwalimu mkuu kutohakikisha vipindi vyote vinafundishwa na walimu wake kwa wakati.

“Hii inaashiria ni usimamizi mbovu wa mwalimu mkuu na mwalimu wa taaluma, kwani wanafunzi wamekuwa wakifundishwa masomo machache kwa siku huku mwalimu mkuu hajui chochote”, alisema.

Amewataka maafisa elimu hao kwenda kuwasimamia walimu wakuu wa shule kwa ukaribu zaidi, kwani Mkoa wa Arusha unasifa ya kushika nafasi nzuri katika matokea ya mitihani mbalimbali, hivyo baadhi ya walimu wakuu wasikwamishe jitihada hizo.

Nae, Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Arusha bwana David Lyimongi, amemuagiza Afisa Elimu mkoa bwana Masukira kuhakikisha miongozo yote inayoletwa kutoka TAMISEMI iwe inaendana na uhalisia wa hali ya sasa ili sekta ya elimu iendelee kuimarika zaidi.

Mkoa wa Arusha umekuwa ukifanya vizuri katika matokeo ya mitihani ya kitaifa na kwa mwaka 2020 kidato cha sita Mkoa ulishika nafasi ya 7 Kitaifa, kidato cha nne nafasi ya 1, kidato cha pili nafasi ya 1, darasa la saba nafasi ya 2 na darasa la nne nafasi ya 3.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa