• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

MWENYEKITI UVCCM AMTAJA RC MAKONDA KAMA MFANO WA KUIGWA, "ANAWAZA TOFAUTI NA WENGINE"

Posted on: December 28th, 2024

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi nchini Tanzania UVCCM na Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM Taifa, Mohammed Kawaida Comrade Mohammed Kawaida  amefika Ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda Rc Mkoa Arusha  na kumpongeza kwa kazi nzuri katika kuwatumikia wananchi wa Arusha, akimtaja kama miongoni mwa Viongozi wachache wenye maono, ubunifu na wenye kuwaza mbali kwa maslahi ya wananchi wanaowahudumia.



Akitaja baadhi ya matukio yaliyofungua fursa kwa Vijana, Kawaida ameitaja tamasha la Land Rover Festival, Usiku wa Wakuu na wakurugenzi wa Taasisi na mashirika ya Umma pamoja na maadhimisho ya miaka 25 ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, pamoja na ukuzaji wa sekta ya Utalii Mkoani Arusha, akisema matukio hayo yamechangia pakubwa kwenye kutoa fursa kwa wajasiriamali na wafanyabiashara wengi.



"Ukiwa nje huko unaweza kuona kama Mhe. Makonda anacheza, anafanya sherehe na matukio tu, kuwa hakuna anachokifanya lakini ukiliangalia hili kwa kina unaona namna ambavyo uchumi wa Mkoa unapanda, uchumi wa mtu mmoja mmoja unapanda lakini hata Pato la serikali linapanda." Amesema Ndugu Kawaida.



Kwa upande wake Mhe. Makonda amemualika Ndugu Kawaida kwenye sherehe za funga mwaka Jijini Arusha, kuanzia Kesho Disemba 28, 2024 wakati ambapo kutakuwa na tukio la Sanaa ya majukwaani ya The Churchil kwenye ukumbi wa AICC na baadae kufuatiwa na Tamasha la Funga mwaka litakalofanyika kwa siku tatu kuanzia Disemba 29-31 mwaka huu kwenye mitaa mitatu ya katikati ya Jiji la Arusha



Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa