• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

NAIBU WAZIRI WA ARDHI AKABIDHI HATI MILIKI KWA WAMILIKI WA ARDHI YA SAFARI CITY...

Posted on: October 26th, 2024

Na Elinipa Lupembe


Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Geophrey Pinda amekikabidhi hati milki 30 za ardhi kwa wananchi walionunua viwanja kupitia Mradi wa Safari City, unaotekelezwa na Shirila la Nyumba la Taifa (NHC), Jijini Arusha, Oktoba 24 Oktoba 2024


Katika eneo hilo, jumla ya hati 240 zimeshagawiwa kwa wanunuzi wa viwanja katika mradi huo, ambapo Naibu Waziri huyo amekabidhi hati milki 30 kati ya 81 zilizoandaliwa.


Hata hivyo Mhe. Pinda ameliagiza  Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kujenga nyumba zenye hadhi kulingana na uhitaji hususani katika maeneo ya mijini na kusahurinkuwa na mpango mbadala kuzibomoa nyumba za zamani za  katikati na kujenga za kisasa.


‘’Vijumba vingine vilivyopo kati kati ya mji kwa kweli ni kama vile vya urithi, havina sura ya Tanzania ya sasa, muende mkaweze upya ili tupate thamani inayofanana na uhalisia, ukiweka hata ukumbi utapata wapangaji wengi, ukijenga mahoteli watu watakuja kupanga na kuendesha shughuli zao’’. Amesema Mhe. Pinda


Naye Meneja wa NHC mkoa wa Arusha Bw. Benit Masika amesema, hadi sasa SHirika limeweza kuuza jumla ya viwanja 1,026, kati ya hivyo viwanja 350 wateja wake wamemaliza malipo kwa 100%.


"Kwenye mradi wa Safari City, HNC imetenga viwanja 1,601 kwa ajili ya kuviukuza kwa lengo la kutoa fursa ya uendelezaji kwa wananchi wazawa na wadau na viwanja 313 shirika limehifadhi kwa ajili ya uendelezaji wa baadaye’’. Amesema Masika


Ameongeza kuwa, mradi huo tayari umefikiwa na huduma wezeshi kwa wateja kama vile maji, umene pamoja na miundombinu ya barabara aliyoieleza kuwa, imekuwa ikiendelezwa na serikali ili kuwawezesha walionunua maeneo kuendeleza maeneo yao na wanunuzi wa viwanja wamefurahi na kuishukuru Serikali kwa kuwakabidhiwa hati milki za ardhi katika eneo ambalo limepangiliwa vizuri.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa