• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

NENDENI MKAJIRIDHISHE NA ZOEZI LA SENSA

Posted on: August 27th, 2022

" Nawaagiza viongozi wote wa Wilaya,Halmashauri na wakuu wa idara kwa Mkoa wa Arusha kukagua maeneo yote na kujiridhisha mwenendo mzima wa sensa kabla ya tarehe ya mwisho."

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe.John Mongella alipokuwa akikagua zoezi la sensa ya watu na makazi katika Wilaya ya Longido.

RC Mongella amebaini kuwa kuna baadhi ya maeneo makadirio ya kaya yalikuwa chini au zaidi.

Hivyo amewataka viongozi wa Wilaya na Halmashauri zote kuyabaini hayo maeneo na kuchukua hatua haraka za kuhakikisha kaya hizo zinahesabiwa.

Lengo la Mkoa sio tu kumaliza zoezi la sensa kwa muda uliopangwa bali kuhakikisha kila kaya inahesabiwa.

Aidha, amewaagiza viongozi wa makarani kuhakikisha wale wanaomaliza kuhesabu katika maeneo yao mapema wapangiwe maeneo mengine ambayo yanauwitaji zaidi ili kaya zote ziweze kufikiwa.

Karani kutoka Wilayani  Longido Frida Mchome amesema zoezi la sensa kwa upande wake limeenda vizuri na alifanikiwa kuhesabu kaya 70 na akahamishiwa kwenye eneo jingine.

Frida amesema changamoto kubwa aliyokutana nayo ni baadhi ya watu kutowakuta kwenye kaya kwababu ya majukumu yao ya kikazi hivyo kupelekea kufanya zoezi la sensa hadi usiku.

Samweli Steven ni miongoni mwa wananchi waliohesabiwa na amesema zoezi la sensa ni nzuri kwani litasaidia Serikali kupanga mipango ya maendeleo na amemshukuru Rais Samia kwa kuleta zoezi hilo.

RC Mongella anaendelea na zoezi la kufuatilia  mwenendo mzima wa sensa ya watu na makazi katika halmashauri za Mkoa na kutatua changamoto zinazokuwa zimejitokeza katika maeneo hayo.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa