• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC ARUSHA AAGIZA KUKAMILISHA UJENZI WA BWALO SHULE YA MSINGI GWANO IFIKAPO DESEMBA 01.2023....

Posted on: October 24th, 2023

Na Elinipa Lupembe


Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe, John V. K. Mongella ameuagiza uongozi wa wilaya Karatu kupitia Mkurugenzi halmashauri ya Karatu kuhakikisha wanakamilisha mradi wa ujenzi wa Bwala la chakula liliojengwa kwa gharama ya shilingi milioni 50 fedha kutoka serikali Kuu tangu mwaka 2017.


Mhe. Mongella amemuagiza Mkurugenzi huyo, kutoa fedha za mapato ya ndani ,kukamilisha bwalo hilo la chakula lilojengwa kwa ajili ya wanafunzi wenye Mahitaji Maalum, mradi ambao umekaa kwa muda mrefu sasa bila kukamilia huku watoto wakihitaji kuhudumiwa kupitia Bwalo hilo.


"Ninakuagiza DC na mkurugenzi kutoa fedha kukamilisha jengo hilo na terehe 01.12.2023 nitakuja kufungua, serikali ilishatoa fedha wekeni kipaumbele kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum, Serikali ya awamu ya sita chini ya Mama yetu mama Samia  anawajali watoto wenye mahitaji maalum, kamilisheni mradi huu kwa haraka" Amesistiza Mhe. Mongella


Hata hivyo ameutaka uongozi wa halmashauri kuhakikisha wanakamilisha miradi yote kwa wakati na viwango vya ubora vinavyoendana na thamani ya fedha, miradi ambayo inayoletewa fedha na Serikali Kuu na kukemea tabia ya kutokukamilisha mradi huku fedha zikiwa zimekwisha, amesisistiza kuwa kila fedha za mradi zinakuja zikiwa na maelekezo ya kukamilisha mradi husika.


Awali amesisitiza kuweka vitanda kwenye Bweni la shule hilo ambalo tayari miundombinu yake imekamilika ili siku ya uzinduzi majengo yote yaanze kutumika na wanafunzi hao wenye mahitaji Maalum.


#ArushaFursaLukuki

#KaziInaendelea

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa