• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKALLA AKAGUA MRADI WA MABORESHO UWANJA WA NDEGE WA LAKE MANYARA, KARATU...

Posted on: September 20th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla @amosmakalla leo Jumamosi Septemba 20, 2025 ametembelea na Kukagua utekelezaji wa mradi wa maboresho na ukarabati wa uwanja wa ndege wa Lake Manyara Wilayani Karatu, akisisitiza umuhimu wa ukamilisha wa mradi huo katika viwango, ubora na muda waliokubaliana kwenye Mkataba ili kuchochea shughuli za usafiri, uchumi na Utalii kupitia Uwanja huo wa ndege.


Uwanja wa ndege wa Lake Manyara unaboreshwa kwa kuongezwa njia za kuruka na kutua ndege na kuwa na upana wa Mita 30 na urefu wa Mita 1500 kutoka upana wa mita 21 na urefu wa mita 1220 za sasa, ukigharimu takribani shilingi 88, 539, 522.550 na ukitekelezwa na Mkandarasi Beijing Construction Engineering Group Company.


Mradi huo pia unahusisha  ujenzi wa jengo la abiria pamoja na miundombinu ya Maegesho ya ndege, maegesho ya magari na barabara za kuingia na kutoka kiwanjani hapo, usanikishaji wa taa na mitambo ya kuongozea ndege, kujenga uzio, ujenzi wa jengo la kuongozea ndege pamoja na ujenzi wa jengo la uchunguzi wa hali ya hewa.


Kulingana na Meneja wa Tanroads Mkoa wa Arusha, Mhandisi Reginald Massawe amesema kukamilika kwa maboresho hayo kutaongeza usalama na uwezo mkubwa wa kubeba na kupokea ndege kubwa aina ya ATR 42 yenye uwezo wa kubeba abiria 72 na pia utasaidia kukuza uchumi wa Wilaya ya Karatu pamoja na pato la Mkoa wa Arusha kwa Ujumla.


Kulingana na wasimamizi wa mradi huo, hadi sasa mkandarasi amekabidhiwa eneo la mradi na anaendelea na maandalizi, Mhandisi Mshauri akiendelea na mapitio ya usanifu wa kina wa uwanja wa ndege pamoja na kazi zilizoongezeka kwenye mradi ikiwa ni ujenzi wa daraja la Mto Athumani lenye urefu wa Mita 60 kwenye barabara ya Mto wa Mbu- Loliondo pamoja na Kalavati la midomo mitatu eneo la Manyara Kibaoni, barabara ya Makuyuni- Ngorongoro Mkoani Arusha.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKALLA: UFUNGUZI TAWI LA CRDB NAMANGA UTACHOCHEA BIASHARA NA UCHUMI WA WANANCHI WA MPAKANI ..

    September 26, 2025
  • RC MAKALLA ATAKA MPANGO MKAKATI WA UTALII UKIJUMUISHA FURSA NA MAANDALIZI YA AFCON 2027...

    September 25, 2025
  • WANANCHI WALIOLALAMIKIA MGAO WA MAJI WAFURAHIA UJENZI WA TENKI JIPYA LA MAJI...

    September 24, 2025
  • RC MAKALLA: ARUSHA ITAENDELEA KUWA NA AMANI SASA NA HATA  BAADA YA UCHAGUZI...

    September 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa