• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKONDA AKABIDHI PIKIPIKI 50 NA GARI KWA JESHI LA POLISI...

Posted on: May 31st, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda ameitaka Jamii ya Arusha kuendelea kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwani yote anayoyafanya mkoani Arusha yanatokana na maelekezo na uwezeshaji kutoka kwa serikali ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Mhe. Makonda ametoa wito huo leo Ijumaa Mei 31, 2024 wakati akikabidhi pikipiki 50 zenye thamani ya Milioni 145 zilizotolewa na Benki ya CRDB na NMB pamoja na kampuni ya vifaa vya umeme ya MCL pamoja na gari moja aina ya Fortuner lenye thamani ya Milioni 60 lililotolewa na Kamati ya Ulinzi na usalama mkoa wa Arusha.

Kando ya kuwashukuru wadau hao waliojitolea vitendeakazi hivyo, Mhe. Mkuu wa Mkoa ameahidi pia kutafuta magari mengine 50 kwa Jeshi hilo la Polisi badala ya magari 20 ya awali ikiwa ni sehemu ya jitihada zake za kutimiza maagizo ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuukuza utalii wa Mkoa wa Arusha kwa kuimarisha sekta mtambuka zinazohusiana na Utalii.

Wakati wa hotuba yake Mhe. Makonda na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Justine Masejo wametuma salamu kwa wahalifu wa Mkoa wa Arusha na kuwataka kuacha vitendo hivyo kabla ya hatua kali za kisheria kuchukuliwa dhidi yao,wakionya wazazi kutoa tahadhari kwa watoto wao wanaojihusisha na uhalifu.

Mkuu wa Mkoa wa Arusha pia amelitaka Jeshi la Polisi Arusha kuimarisha kitengo chake cha Intelejensia ili kujenga heshima ya Jeshi la Polisi kwa kubaini na kuzuia uhalifu na wahalifu kabla ya wahalifu kusababisha madhara kwa jamii ya Arusha.

Aidha Mhe. Makonda pia amelitaka Jeshi la Polisi Mkoani Arusha kuachana na matumizi ya karatasi na badala yake watambulishe mfumo wa TEHAMA kwenye vituo vyake vya Polisi ili kuweza kutunza rekodi za matukio ya uhalifu na wahalifu na kuwezesha vituo vya Polisi kuweza kusomana na makao makuu ya Polisi Mkoani Arusha.

Mhe. Mkuu wa Mkoa kadhalika amewataka pia wananchi wa Arusha kushiriki kikamilifu kwenye suala la ulinzi na usalama kwa kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu pamoja na kushirikiana na Jeshi la Polisi katika kuimarisha ulinzi na usalama kwenye maeneo yao.



Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa