• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKONDA AONGOZA KAMPENI YA USAFI NA UPANDAJI MITI SIKU YAKE YA KUZALIWA

Posted on: February 15th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Christian Makonda, ameongoza wananchi na viongozi mbalimbali wa Mkoa huo katika kampeni maalum ya usafi wa mazingira na upandaji miti Kata ya Ambureni, Halmashauri ya Meru. Tukio ambalo limefanyika leo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku yake ya kuzaliwa.



Katika kampeni hiyo, Mhe. Makonda amesisitiza umuhimu wa kutunza mazingira kwa faida ya kizazi cha sasa na kijacho huku akiwataka wananchi kushiriki kikamilifu katika shughuli za usafi na kuhakikisha wanapanda miti kwa wingi ili kusaidia kuhifadhi vyanzo vya maji na kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi.



"Leo nina furaha kwa kwasababu tunazindua kampeni, tunapanda miti, na ninafuha kwasababu ninasherekea siku yangu ya kuzaliwa”.Amesema.



Kampeni hiyo imehudhuriwa na viongozi wa Serikali, watumishi wa umma, wanafunzi, pamoja na wananchi kutoka maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Arusha, ambapo miti 1,200 imepandwa katika eneo la bustani ya barabara ya Moshi Arusha.



Aidha, Mkuu wa Mkoa ametoa wito kwa Taasisi mbalimbali, mashirika yasiyo ya kiserikali, na wananchi kwa ujumla kushirikiana na Serikali katika juhudi za kutunza mazingira kwa kufanya usafi mara kwa mara na kupanda miti zaidi ili kuimarisha mazingira na kuboresha hali ya hewa.



Kwa hatua hii, Mkoa wa Arusha unaendelea kujiimarisha kama moja ya miji inayopambana na uchafuzi wa mazingira huku ikihimiza maendeleo endelevu yanayozingatia utunzaji wa rasilimali asili.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa