• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKONDA AWAALIKA WANAARUSHA KUSHIRIKI SHEREHE ZA MEI MOSI 2024 KWENYE UWANJA WA SHEIKH AMRI ABEID

Posted on: April 21st, 2024

Elinipa Lupembe

Mkuu wa Mkoa wa Arusha amewaalika wananchi wa Mkoa wa Arusha na mikoa ya jirani kuungana na Wafanyakaizi wote nchini kushiriki kwenye sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi itakayofanyika tarehe 01.5.2024 kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha.

Mhe. Makonda amesema hayo, wakati akimkaribisha NAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana na wenye Ulemavu, kufungua kikao cha kamati ya maandalizi ya Mei Mosi 2024, kilichofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Aprili 20, 2024

Amesemq kuwa, wananchi wanatambua mchango wa wafanyakazi nchi katika utaji wa huduma kisekta, hivyo kwa umuhimu huo, amewaalika wananchi wote kuungana na wafanyakazi wote nchi kufurahia kwa pamoja mafanikio ya wafanyakazi kwa kusherehekea siku hiyo muhimu ya Mei Mosi Kitaifa inayofanyika mkoani Arusha Kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid.

"Ni bahati iliyoje kupata upendeleo Mei Mosi kufanyiaka Arusha, nitumie fursa hii kuwaalika rasmi ndugu zangu wanaarusha kushiriki kwenye sikukuu ya Mei Mosi ambapo Rais wetu Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan atakuwa mgeni rasmi, kila mmoja kwa nafasi yake ninaomba ashiriki tukio hilo muhimu kwa mkoa wetu wa Arusha"Amesisitiza Mhe. Makonda

Aidha, amewataka wakazi wa Arusha, kuwapokea wageni wanaofika Arusha kwa shughuli hizo za Mei Mosi na kuwapa ushirikiano pamoja na kutumia fursa hiyo kuwakarimu katika maeneo yote ya biashara ambayo ugeni huo mkubwa utahitaji huduma.

"Nafahamu watu wa Arusha ni wakarimu, wahudumieni vizuri wageni wote na kuhakikisha wanapata hudumq bora ili wafurahie kuwepo Arusha, fursa ambayo inakuza uchumi wa mkoa wetu" Amesema

Awali, kikao hicho kimejumuisha wanakamati , viongozi wa Vyama vya Wafanyakazi wakioongozwa na rais wa  TUCTA, Tumaini Nyamhokya, sekretarieti ya mkoa wa Arusha viongozi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa ,

Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Missaile Musa pamoja na Makamishna wa Kazi Wasaidizi kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu.



Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa