• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKONDA AZITAKA NGO'S KUTOKUWA SEHEMU YA UCHONGANISHI.

Posted on: July 8th, 2024


Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda ameyataka Mashirika na Asas za Kiraia, kutokuwa sehemu ya kutengeneza migogoro baina ya wananchi na Serikali yao, kwa kuacha tabia ya kumhusisha na Mhe. Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan na masuala ambayo Serikali yake haina uhusiano nayo katika majukumu yake.


Mhe.Makonda ameyasema hayo wakati akizungumza na wadau wa maendeleo mkoani Arusha, wanaowakilisha Mashirika na Asas za Kiraia zenye kutoa huduma za kijamii mkoani humo, mkutano uliofanyika kwenye Hoteli ya Gran Melia, Julai 8, 2024 .


Aidha amewataka wananchi kuacha tabia ya kuzusha mambo yasiyo ya msingi na kujiepusha na mambo yanayozushwa na wasioitakia mema Serikali ya awamu ya sita badala yake kuinga mkono Serikali kwa kufanya kazi na kujiletea maendeleo.


"Tujitahidi tu na sasa hivi tunaelekea kwenye uchaguzi, yatatokea mambo mengi ya uzushi na ya kupakaziana, sisi tusiwe sehemu yao kwasababu tunaijua faida tunayoipata, ukimchafua kiongozi wa Taifa unachafua taifa lako, umechafua urithi wa Taifa lako na unaharibu uchumi wa wengine." Ameongeza Mhe. Makonda.


Mhe. Makonda amewasihi wananchi na viongozi hao kuitunza sifa ya nchi na Mkoa wa Arusha, akikumbusha kuwa hata wafadhili wanaozisaidia asasi hizo wametokana na sera nzuri zilizowekwa na Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye pia ameonesha dhamira yake njema katika kuwatumikia wananchi wa Tanzania.


Mkutano huo umekutanisha wawakilishi 584 wa Mashirika yasiyo ya kiserikali yanayofanya kazi katika mkoa wa Arusha.



Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKALLA: UFUNGUZI TAWI LA CRDB NAMANGA UTACHOCHEA BIASHARA NA UCHUMI WA WANANCHI WA MPAKANI ..

    September 26, 2025
  • RC MAKALLA ATAKA MPANGO MKAKATI WA UTALII UKIJUMUISHA FURSA NA MAANDALIZI YA AFCON 2027...

    September 25, 2025
  • WANANCHI WALIOLALAMIKIA MGAO WA MAJI WAFURAHIA UJENZI WA TENKI JIPYA LA MAJI...

    September 24, 2025
  • RC MAKALLA: ARUSHA ITAENDELEA KUWA NA AMANI SASA NA HATA  BAADA YA UCHAGUZI...

    September 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa