• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKONDA NA RAIS WA TFF WATETA KUHUSU MAADHIMISHO YA SIKU YAMWANAMKE DUNIANI

Posted on: February 10th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Christian Makonda, amekutana na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia, kujadili maandalizi ya maadhimisho ya Siku ya Mwanamke Duniani leo tarehe 10 Februari, 2025.



Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika kwenye `Ofisi ya Mkuu huyo wa Mkoa, viongozi hao wamekubaliana kuweka msisitizo mkubwa katika michezo kama sehemu ya kuadhimisha siku hiyo muhimu ikiwemo kuandaa mashindano ya mpira wa miguu kwa wanawake, ambapo timu nne za wanawake zitashiriki, zikiwemo Simba Queens, Yanga Queens, JKT Queens na Fountain Gate FC.



Aidha, Viongozi hao wamekubaliana kawa, TFF itaweka banda maalum katika maadhimisho hayo ili kutoa elimu kuhusu maendeleo ya soka la wanawake na kuhamasisha ushiriki wa wanawake katika michezo mbalimbali.



Mbali na michezo, maadhimisho hayo yataambatana na Wiki ya Utoaji wa Huduma kwa Wanawake, ambapo sekta mbalimbali zinazohusiana na maendeleo ya wanawake zitashiriki kutoa huduma na elimu kwa wananchi wa Arusha na maeneo ya jirani.



Hata hivyo, Mhe. Paul Makonda  amesisitiza kuwa lengo la maadhimisho hayo ni kuinua hadhi ya mwanamke katika nyanja mbalimbali, hususan michezo, afya, elimu na uchumi na kuwataka wadau mbalimbali kushirikiana kwa karibu kuhakikisha hafla hiyo inafanikiwa na kuleta matokeo chanya kwa jamii.



Kwa upande wake, Rais wa TFF, Wallace Karia, ameahidi kuwa shirikisho hilo litaendelea kuwekeza katika maendeleo ya soka la wanawake na kushirikiana na serikali na wadau wengine kuhakikisha mpira wa miguu kwa wanawake unapata msukumo unaostahili.



Maandalizi ya maadhimisho hayo yanaendelea, na wananchi wa Arusha wanatarajiwa kushiriki kwa wingi katika hafla hiyo ambayo itaadhimishwa Kitaifa 08 Machi, 2025 Mkoani Arusha.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa