• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MONGELLA AAGIZA KUJENGA GHOROFA KWA AJILI YA VIBANDA STENDI MPYA YA DALADALA  ARUSHA...

Posted on: December 21st, 2023

Na Elinipa Lupembe.


Mkuu wa mkoa wa Arusha, Mhe. John V.K Mongella, ameuagiza uongozi wa Jiji la Arusha, kuboresha ramani iliyoandaliwa kwa ajili ya ujenzi wa vibanda vinavyozunguka Stendi mpya ya Daladala, Jiji la Arusha, inayotarajiwa kujengwa, kata ya Themi halmashauri ya Jiji la Arusha.


Mhe. Mongella, amemuagiza Mkurugenzi na Mhandisi wa Jiji hilo  kuboresha ramani

 iliyowasilishwa na kuandaa mchoro mwingine ambao msingi wake utajengwa ghorofa ambalo, ndani yake kuwe na sakafu zaidi ya moja itakayojengwa vibanda kwa ajili ya wafanyabiashara, ili kukidhi mahitaji ya wafanyabiashara na wateja wao.


Amesisitiza kuja na mpango wa muda mrefu ambao, unaendana na matumizi bora ya ufinyu wa ardhi Arusha na kuongeza kuwa mpango ambao utadumu kwa vizazi vijavyo, unaoendana na ongezeko la idadi ya watu na sio mipango ya muda mfupi, mbao husababisha usumbufu kwa watumiaji.


 Aidha, amewagiza kuhakikisha baada ya kukamilisha ujenzi wa vibanda hivyo, kugawa viwabanda kwa kutangaza tenda, kupitia mfumo wa TAUSI ili wafanyabiashara waweze kupata kwa haki na kwa usawa sambamba na kuondoa migogoro baina ya Jiji na wafanyabiashara.


Licha ya kuwataka kujenga stendi ya kisasa, ambayo ina miundombinu yote ya kutolea huduma za jamii ikiwa ni pamoja na kuandaa mikataba thabiti itakayoondoa migogoro ambayo inalisumbua jiji la Arusha kwa miaka mingi sasa.


"Jengeni vibanda vyenye viwango vya ubora unaoendana na wafanya biashara wa kisasa, ili viweze kudumu vizazi vijavyo, jambo ambalo hili litaleta kwa wananchi na kuacha sifa kwa uongozi hata mtaka na sio kuacha migogoro". Amesema


Akiwasilisha taarifa mradi huo, Mhandisi Jacob Mwakyambiki, amesema kuwa, mradi huo, utagharimu shilingi milioni 300 na unatarajia kukamilika mapema meezi Aprili , 2024,


Lengo la mradi huo ni kupunguza msongamano katikati ya mji na kuondoa adha ya magari kushusha na kupakia maeneo yasio rasmi hususani pembezoni mwa barabara ndani ya Jiji la Arusha.


Awali, Mhe. Mongella ametoa maagizo hayo, wakati wa ziara ya kukagua eneo hilo la ujenzi wa stendi mpya ya Daladala, leo 21 Desemba, 2023.


#arushafursalukuki

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa