• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MONGELLA AFUNGA MAFUNZO YA TEKNOLOJIA YA 3D SHULE YA SEKONDARI ARUSHA SAYANSI...

Posted on: December 22nd, 2023


Mkuu wa mkoa wa Arusha, Mhe. John V.K Mongella, ameshiriki hafla ya kufunga Mafunzo ya Teknolojia ya 3D Printing shule ya Sekondari Arusha Sayansi, ambapo jumla ya wanafunzi 53 wamehitimu mafunzo.


Mhe. Mongella, licha ya kuupongeza uongozi wa shule hiyo, kwa kuandaa mafunzo hayo, amekiri kushuhudia mazingira bora yenye miundombinu ya kiteknolojia ikiwemo maabara za kisasa zilizopo shuleni hapo.


"Serikali ya awamu ya sita inaendelea  kuweka mazingira rafiki kwenye sekta ya elimu na hii ni ishara tosha ya namna ambavyo Shule, inaawaandaa vyema wanafunzi na kuwapa ujuzi wa kiteknolojia wanafunzi hawa kwenye maisha yao na taifa letu la Tanzania.


Aidha, amewataka kuendelea kutoa mafunzo hayo ili yaweze kuwanufaisha wanafunzi wengine zaidi, kwa kuwa dunia ya sasa, inaendeshwa kiteknolojia, mafunzo hayo yanawaandaa vijana kuweza kuingia kwenye ushindani wa soko la ajira ndani na nje ya nchi


Naye Mmliki wa Shule hiyo Prof. Juma Hatibu, amesema kuwa Serikali inayo Sera nzuri ya elimu ambayo inachochea uzalishaji wa vijana wenye maarifa ya kisayansi, ambayo ina uwezo wa kutatua matatizo ya kijamii nchini.


Aidha, amebainisha kuwa 3D Printer, ni teknolojia yenye uwezo wa kuchapisha picha kwa teknolojia ya kisasa yenye uwezo wa kuchapisha picha kwa pande zote.


Hata hivyo wahitimu  hao, wamepongeza na kushukuru uwepo wa teknolojia hiyo, utakaowawesha kujifunza kwa wepesi kwa kutengeneza zana za kujifunzia wenyewe.


Rose Nehemia, mhitimu wa mafunzo hayo, amesema mashine ya 3D Printing ni teknolojia mpya nchini, ambayo itarahisisha na kusaidia kutengeneza vitu vingi ambavyo vitawasaidia katika masomo yao ikiwemo zana za kujifunzia.


Mafunzo hayo yaliandaliwa na shule hiyo kwa kushirikiana na wadau, ambao ni watanzania waishio Marekani,  ambayo amekiri ni ishara njema kwa uongozi wa Shule unavyopambana kuhakikisha wanafunzi wanakuwa bora.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa