• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

TANAPA YAWEKA WAZI FURSA ZA UWEKEZAJI KWENYE HIFADHI ZA TAIFA...

Posted on: April 16th, 2024

Mamlaka ya Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) imefanya kikao na balozi wa Singapore nchini Tanzania Douglas Foo na kuelezea fursa za uwekezaji zinazopatikana kwenye hifadhi za Taifa ili kuvutia wawekezaji kuja Nchini na kuwekeza kwenye maeneo hayo.

Kikao hicho kilichojumuisha wajumbe kutoka Mamlaka ya Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro, TAWA na AICC kimefanyika kwenye ukumbi wa Mikutano wa Jengo la Ngorongoro, Jijini Arusha ambapo wamewasilisha vivutio mbalimbali vya uwekezaji kwa Balozi huyo.

Akizungumza wakati akiwasilisha taarifa ya fursa za uwekezaji ya Kituo cha Kimataifa cha Mikutano Arusha (AICC) Mkurugenzi wa kituo hicho Christina Mwakatobe, lisha ya kumkaribisha Balozi huyo kutembelea na kujionea fursa zinazopatikana kituoni hapo, amesema kuwa Tanzania inaendelea kufanya vizuri katika kuendesha mikutano ya Kimataifa kwa nchi za Afrika ambapo kwa sasa inashika nafasi ya 5 huku akiamini kuwa kulingana na Uongozi wa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, idadi hiyo itaongezeka na hata kufikia nafasi ya tatu bora.

"Katika kipindi cha miaka 3 ya hivi karibuni, tumeshudia ongezeko la wageni wengi ambao pia baada ya kufanya mikutano hupenda kutembelea maeneo ya hifadhi na kujionea vitu mbalimbali vya asili ambavyo nchi yetu imebarikiwa na kisha kurudi kwao". Amesema Mkurugenzi huyo.

Aidha, fursa zingine za uwekezaji zinazopatikana kwenye maeneo ya hifadhi ni pamoja na maeneo ya vivutio vya kupiga picha, uwindaji na maeneo ya kuweka kambi za muda mfupi na muda mrefu.

Hata hivyo, Balozi huyo ameahidi kuendelea kushirikiana na Nchi ya Tanzania sanjari na kueleza watu wa Nchi yake juu ya fursa hizo za kufanya uwekezaji na kukuza Sekta ya Utalii sambamba na kuongeza pato la mwananchi mmoja mmoja.

Kwa upande wake, Katibu Tawala Msaidizi, Bishara na Uwekezaji, Frank Mmbando ametumia fursa hiyo kuwakaribisha wageni wote kuja kujionea vituo vilivyomo ndani ya Mkoa wa Arusha na kufanya uwekezaji utakaosaidia kukuza pato la Taifa na kuwaletea wanachi Maendeleo.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa