• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

TANZANIA YAENDELEA KUWEKA HISTORIA YA AMANI NA MAENDELEO KUELEKEA MIAKA 61 YA MUUNGANO

Posted on: April 23rd, 2025

Katika kuelekea maadhimisho ya miaka 61 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Mashaka Biteko, amewataka Watanzania kudumisha amani na mshikamano kama tunu ya taifa. 



Dkt. Biteko ametoa rai hiyo kijiji cha Esilalei Wilayani Monduli wakati wa ukaguzi wa mradi wa maji kwenye ziara yake ya siku nne anayoifanya wilaya mbalimbali za Mkoa wa Arusha ambapo ameeleza kuwa mafanikio mengi yaliyofikiwa nchini ni matokeo ya amani na utulivu vilivyodumu kwa miaka mingi.



Amesisitiza kuwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatekeleza majukumu yake kwa ufanisi mkubwa huku akileta maendeleo yasiyoangalia dini, kabila wala chama cha siasa kama vile wa miundombinu ya barabara, miradi ya maji, umeme na shule, huduma ambazo zinawagusa wananchi wote na ni kiashiria cha mshikamano wa kitaifa unaopaswa kulindwa.



Hata hivyo, ametoa wito kwa wananchi kuzingatia sifa na uwezo wa viongozi wakati wa uchaguzi mkuu wa unaotarajia kufanyika mwaka huu badala ya kushawishiwa na zawadi ndogondogo ili kuchagua kiongozi na kusisitiza kuwa kiongozi bora ni yule anayechaguliwa kwa misingi ya uwezo wake wa kuleta maendeleo, si ahadi au upendeleo wa muda mfupi.



Mradi huo wa maji ambao umekamilika awamu ya kwanza utagharimu kiasi cha sh, bilioni 1.9 ambao utahudumia wananchi 8,757 kutoka vijiji vya Eslalei, Losirwa na makao mapya.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa