• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

TOENI WANAFUNZI WABUNIFU NA WENYE USHINDANI KATIKA SOKO LA AJIRA LA AFRIKA-RC MONGELLA

Posted on: November 1st, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Arusha John Mongella amekitaka chuo cha Ufundi Arusha kifundishe kwa vitendo zaidi, ubunifu na wanafunzi kuwa na uwezo wa kutoa suluhu za changamoto katika jamii.

Ameyasema hayo alipokuwa akiweka jiwe la msingi katika hospitali ya chuo hicho.

Amesema hospitali hiyo itasaidia sana kutoa wataalamu wanaoweza kutumia vizuri vifaa tiba kwani kwa sasa vingi vinaharibika kwa kukosa wataalumu wa kuvitumia.

Jamii inakiamini chuo hicho kwa kutoa wanafunzi wazuri katika vitendo hivyo waendelee na kasi hiyo na kuwa mfano wa kuigwa katika nchi.

Aidha, amewashauri watoe wanafunzi wenye sifa za kuweza kushindana katika soko la ajira la Afrika kwani kwasasa dunia ni kijiji.

Amesisitiza kuwa, Mkoa wa Arusha unamkakati wa kuhakikisha unakuwa kinara wa kutoa huduma bora za afya.

Nae, Mkuu wa Chuo cha Ufundi Arusha Dkt. Musa Chacha amesema hospitali hiyo imejengwa kwa mapato ya ndani na mpaka kukamilika kwake itagharimu Bilioni 1.4.

Amesema ujenzi upo katika hatua za mwisho kwa 92% na wanatarajia utakamilika ifikapo mwisho wa mwezi Novemba, 2022.

Hospitali ya chuo cha ufundi Arusha inajengwa kwa lengo la kusaidia wanafunzi wanaofanya masomo kwa vitendo na hata pia itatoa huduma  kwa wananchi.





Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA MIAKA 2 YA MAMA SAMIA AKIWA MADARAKANI

    March 19, 2023
  • BONANZA LA MIAKA MIWILI YA MAMA SAMIA

    March 18, 2023
  • UZINDUZI WA KITABU CHA MIAKA MIWILI YA DKT.SAMIA

    March 14, 2023
  • TUMERIDHISHWA NA MIRADI-KAMATI YA SIASA MKOA

    March 09, 2023
  • Angalia Zote

Video

THE ROYAL TOUR
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa