• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

TUMIENI MASOKO ULIYOPANGIWA-MAJALIWA

Posted on: May 25th, 2022

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassm Majaliwa amewataka wafanyabiashara wadogo (Machinga) kukaa katika meza zao walizopangiwa ili waweze kutambulika na kupata mikopo kirahisi.

Kauli hiyo ameitoa alipokuwa akizungumza na  Machinga wa soko la Kilombero alipofanya ziara ya kukagua masoko ya Machinga katika Jiji la Arusha.

" Acheni kukimbia meza zenu, zitawasaidia kutambulika na kupata mikopo kwa urahisi kwa mabenki".

Mhe. Majaliwa amesema Serikali itaendelea kusimamia maboresho ya masoko hayo ili yawe katika hali inayotakiwa.

Aidha, ameitaka halmashauri ya Jiji la Arusha kuendelea kuboresha miundombinu ya masoko yote ya Machinga kwani Serikali imetoa bilioni 1.5 kwa ajili hiyo.

Lengo la Serikali nikuona wamachinga wanakua na kuwa wafanyabiashara wakubwa.

Amewataka mgambo kutotumia nguvu katika kusimamia wamachinga bali watumie weredi na maarifa kwenye kazi zao za ulinzi.

Nae, Waziri wa TAMISEMI Mhe. Innocent Bashungwa amesema, ataendelea kusimamia maelekezo yaliyotolewa na Rais Samia ya kuhakikisha masoko ya Machinga yanakuwa na miundombinu rafiki.

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella amesema, Mkoa umeweza kusimamia uwanzishaji wa saccoss ya Machinga ambayo itawasaidia kupata mikopo ya kukuza mitaji yao.

Mhe. Kassim Majaliwa amefanya ziara ya kukagua masoko ya Machinga ya Mbauda, Kilombero na Machame kwa lengo la kujionea hali ya masoko ilivyo.




Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa