• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

UFUNDISHAJI KWA NJIA YA KUONA KUMEONG KUFINDISHAJI KWA PICHA KUMEONGEZA HAMASA YA KUSOMA KWA WANAFUNZI

Posted on: September 14th, 2022

Mfumo wa kutumia teknolojia ya Kompyuta katika kufundishia umeonekana ni mfumo unaorahisisha ufundishaji na kukuza hamasa kwa wanafunzi yakupenda kusoma zaidi.

Shule ya Sekondari Irkisongo iliyopo Wilayani Monduli ni miongoni mwa shule za Mkoa wa Arusha ambazo zimepatiwa Kompyuta 20 kwa ajili ya kufundishia na wanafunzi kujifunza kimtandao.

Kutokana na umuhimu wa teknolojia hiyo katika shule hiyo Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Missaile Musa amemuagiza Afisa Tehama Mkoa bwana David Nyangaka kuongeza Komputa nyingine 10 katika shule hiyo.

Bwana Missaile ameyasema hayo alipokuwa akikagua mradi wa Kompyuta katika katika shule hiyo.

Amesema, mfumo wa kufundisha kwa Kompyuta umeonesha kurahisisha ufundishaji kwa walimu na wanafunzi wanajifunza kwa kuona na hivyo kuongeza hamasa yakupenda masomo yao hasa ya sayansi.

Pia, katika ziara yake amefurahishwa na ujenzi wa shule ya Sekondari Meselani ambao utagharimu kiasi cha Milioni 600 hadi kukamilika kwake na kuitaka idara ya elimu katika halmashauri hiyo kuendelea kusimamia vizuri miradi yote.

Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya Monduli Rose Muhina amesema wataendelea kusimamia miradi yote ili iweze kukamilika mapema na wananchi kupata huduma bora.

Katibu Tawala Mkoa amefanya ziara ya  kikazi ya siku moja katika Wilaya ya Monduli kwa lengo la kujitambulisha kwa watumishi na kukagua miradi ya maendeleo.




Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa