• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

UKATILI WA KIJINSIA KWA WANAWAKE NA WATOTO HAUKUBALIKI

Posted on: September 15th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella amezitaka kamati za ulinzi wa mwanamke na mtoto ngazi ya Wilaya kwenda  katika ngazi za chini za Mitaa, vitongoji na Vijiji kutoa elimu ya namna ya kukomesha vitendo vya ukali wa kijinsia  kwa wanawake na watoto.

Maelekezo hayo yametolewa alipokuwa akifungua kikao cha kamati ya ulinzi wa mwanamke na mtoto ngazi ya Mkoa, Jijini Arusha.

Amewataka viongozi wote katika Mkoa kwa ngazi zote kushirikiana kukomesha vitendo hivyo vya ukatili wa kijinsia kwa wanawake na watoto kwani havikubariki katika Mkoa wa Arusha na havita fumbiwa macho.

Aidha, amesisitiza zaidi kuundwa kwa kamati za ulinzi wa wanawake na watoto katika ngazi za Vijiji, Vitongoji na Mitaa ili viongozi wa ngazi hizo waweze kudhibiti matukio hayo ya ukatili katika maeneo yao.

Pia, amelitaka dawati la jinsia likasimamie kesi hizo za ukatili wa kijinsia ili zipatiwe hukumu kwa mujibu wa sheria na bila kumuonea mtu yoyote.

Nae, Afisa maendeleo ya jamii Mkoa wa Arusha Bi Erena Mateu amesema Mkoa wa Arusha umeshika nafasi ya 3 kati ya Mikoa 7 iliyoongoza katika kuwa na matendo mengi ya ukatili wa kijinsia.

Amesema Mikoa uliyoongoza ni Iringa na Manyara na Mkoa wa Dar es Salaam ukishika nafasi ya 4,ukifuatiwa na Mkoa wa Shinyanga,Kagera na Dodoma.

Afisa ustawi wa Jamii Mkoa wa Arusha bwana Denis Mgiye amesema katika mwaka 2020/2021 jumla ya matukio yaliyolipotiwa ni 4,705 katika ofisi za Polisi, Vituo vya Afya na ofisi ya ustawi wa Jamii.

Amesema mashauri 304 sawa na 6.4% ya mashauri yote ndio yamefikishwa mahakama na mashauri 77 yalitolewa hukumu na watuhumiwa 11 wamehukumiwa.

Kikao cha Kamati ya ulinzi wa mwanamke na mtoto kimefanyika katika Mkoa wa Arusha ikiwa ni maagizo yaliyotolewa na Waziri wa TAMISEMI Mhe.Ummy Mwalimu mnamo Julai  2, 2021 kwa lengo la kuona ni namna gani kamati hizi zinaweza kuweka mikakati yakuondoa vitendo hivyo vya ukatili wa kijinsi.



Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa