• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

VIJANA WANAOLIPA MIKOPO KWA UAMINIFU WAPEWE KIPAUMBELE

Posted on: July 21st, 2024


Na Elinipa Lupembe 


Vijana wanaokeshwa mikopo ya Serikali kupitia program za Uwezeshaji wananchi kiuchumi ikiwepo mikopo isiyokuwa na riba inayotolewa kupitia aslimia 10 za mapato, endapo watarejesha vizuri kwa uaminifu wapewe kipaumbele cha kukopeshwa tena.



Rai hiyo imetolewa na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2024, Ndugu Godfrey Eliakimu Mnzava wakati alipotembelea mradi wa uwezeshaji wananchi kiuchumi kikundi cha Vijana cha Iloonyok, vijana wanaojishughulisha na ufugaji kwa kununua, kunenepesha na kuuza mifugo ng'ombe, mbuzi na kondoo, waliokopeshwa kiasi cha shilingi milioni 4 kupitia mapato ya ndani ya halmashauri ya Longido



Amewapongeza vijana hao, kwa kujiajiri kwa kazi nzuri inayowaingizia kipato na kukwamua uchumi wa familia na Taifa kwa ujumq wake.



Amemuagiza Mkuu wa wilaya ya Longido kuendelea kuwasimamia vijana ili waweze kukabiliana na changamoto ya ajira nchini na duniani kwa kujiajiri kupitia fursa za mikopo inayotolewa na Serikali.

"Niwatie moyo vijana wenzangu kwa kazi nzuri mnayoifanya kwa maendeleo ya Taifa lenu laTanzani, mmetumia fursa ya mikopo ya serikali na kurejesha kwa wakati, kumbukeni Taifa linawategeme vijana ambao ndio nguvukazi, lakini nishauri viongozi kuwapa kipaumbele vijana ambao wanakopeshwa na kurejesha mikopo kwa wakati.



Akiwasilisha taarifa ya mradi huo, Mwenyekiti wa Kikundi Looyan amsema kuwa mkopa wa milioni 4 umekuza mtaji wao na kufikia mifugo 30 na kufikia 40 huku wakiwa wamekamilisha marejesho yote ya mkopo huo.



Tukopeshwa shilingi milioni 4, tumeongeza idadi ya mifugo na faida tuliyoipata kila mwanachama alipata shilingi laki 3 kwa ajili ya kununua bati za kuezekea nyumba, tunaishi kwenye nyumba za bati" Amesema 



Aidha ameishukur serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wa Dkt.Samia Suluhu Hassan kuwa na programu imara za uwezeshaji vijana kuinuka kiuchumi huku wakiweza kujiajiri jambo ambalo limewanufaisha vijana hadi wa maeneo ya vijijini, wameweza kujiajiri kupitia futsa zinazopatikana kwenye maeneo yao.



  Kauli Mbiu ya Mwenge wa Uhuru 2024 ni "Tunza Mazingira, Shiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa ujenzi wa Taifa Endelevu"


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa