• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

VIONGOZI WA CLUB ZA WATOTO WAPATIWA MAFUNZO

Posted on: June 13th, 2023

WANAFUNZI VIONGOZI WA KLABU ZA WATOTO MKOA WA ARUSHA WATEMBELEA BUNGE KUJIFUNZA.


Viongozi wa klabu na mabaraza ya watoto kutoka Halmashauri tatu za Mkoa wa Arusha,  Meru, Karatu na Jiji wakiambatana  na  viongozi toka Ofisi   ya  Rais TAMISEMI, Wataalamu  wa  Mkoa wa Arusha  na Halmashauri  pamoja na Viongozi na watumishi toka Shirika la  SOS CHILDREN'S  VILLAGE wamepata fursa ya kufuatilia shughuli  za  Bunge la Jamhuri  ya  Muungano  wa Tanzania leo tarehe 13/06/2023 ikiwa ni sehemu ya ziara ya mafunzo ya siku tano jijini Dodoma.


Viongozi hao wa klabu za Watoto wameshuhudia namna muhimili wa Bunge unavyoendesha shughuli zake ambapo pia watapata fursa ya  kutembelea chuo  cha Dodoma, Mji wa  serikali mtumba na kushiriki maadhimisho ya siku ya Mtoto wa Afrika ambayo inahitimishwa Kitaifa Mkoani Dodoma  tarehe 16/06/2023.  


Hilda Mgomapayo  kutoka Ofisi ya Rais  TAMISEMI, ambaye ni mratibu wa dawati la ulinzi, usalama na maendeleo ya mtoto amesema Serikali  kupitia Ofisi ya Rais TAMISEMI  inasimamia  na kuratibu uundwaji wa Klabu hizi ikiwa ni utekelezaji wa  sera ya Mtoto,Sheria  za Nchi na Mikataba ya Kikanda na Kimataifa.


Ikumbukwe  shirika la SOS CHILDREN'S VILLAGE Kwa kushirikiana na Serikali kupitia Mkoa wa Arusha na Halmashauri waliwezesha kuundwa Kwa klabu za watoto mashuleni ambazo zimekuwa msaada na jukwaa muhimu la kuwasilikiliza watoto lakini pia kupokea changamoto zao na kuzifanyia kazi.


Awali akizungumzia umuhimu wa ziara hiyo , Afisa ustawi wa jamii Mkoa wa Arusha ndugu Denis Mgiye amesema Watoto  watapata uzoefu na kuongezewa ujasiri wa namna ya kuendesha vikao vyao na kuibua masuala mbali mbali yanayohusu ulinzi na usalama wa Mtoto.


Naye, Afisa Maendeleo ya jamii anayeratibu na kusimamia uundwaji na uendeshaji wa klabu za watoto Mkoa wa Arusha

Bi.Erena Materu amehimiza uundaji  wa klabu hizo katika shule zote na ngazi ya jamii  kunawasaidia watoto kujisemea na kuomba ushirikiano zaidi,kupewe umuhimu  kutoka Idara za kisekta na wadau mbali mbali.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa