• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WAJASIRIAMALI WANUFAIKA WA MPANGO TASAF WAMPA ZAWADI WAZIRI MKUU...

Posted on: November 22nd, 2023

Na Elinipa Lupembe.


Mjasiriamali wa Kikundi cha Naisura cha Olasiti jijini Arusha, Bi. Tatu Ramadhani Hongwa, akimpa zawadi ya bidhaa za sabuni zinazotengenezwa na kikundi hicho, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Kassim Majaliwa Majaliwa (MB), muda mfupi kabla ya uzinduzi wa Maadhimisho ya  3 ya Wiki ya

Huduma za Kifedha Kitaifa yanaendelea mkoani Arusha, kwenye viwanja vya Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha, leo tarehe 22.11.2023.


Kikundi cha Naisura ni miongoni mwa vikundi vya wajasiriamali vinavyoundwa na wanufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini, unaoratibiwa na Serikali, kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii ( TASAF).


Hata hivyo Waziri Mkuu amewaponheza wanufaika hao wa TASAF na kuwataka, kuendelea kuimarisha vikundi vya kuweka na kukopa, kupitia ruzuku ya fedha wanazopokea ili kuaota mitaji ya kuanzisha biashara ndogondogo zitakazowawezesha kukuza pato la Kaya.


 "Nimefurahisgwa sana na vikundi vya wajasirira mali, vinavyoundwa na wanufaika wa TASAF, kwa kutumia fedha za ruzuku wanazopokea, wajasiriamali hawa, wanatekeleza malengo ya serikali ya mpango wa TASAF wa kuondoa uamsikini uliokidpthiri kwenye kaya" Amebainisha Mhe. Majaliwa


Awali, Maonesho ya Wiki ya Huduma za Kifedha kitaifa 2023, yamefunguliwa rasmi na Waziri Mkuu na yanafanyika kwa siku 5, kuanzia tarehe 20 - 26 Novemba, 2023 yenye kauli mbiu Elimu ya Huduma za Fedha ni Msingi


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa