• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WALIMU WAKIRI AWAMU YA 6 IMEFANYA MAPINDUZI KATIKA SEKTA YA ELIMU MKOA ARUSHA...

Posted on: September 19th, 2025

Walimu mkoa wa Arusha wamekiri kuwa, Serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan, imefanya mapinduzi makubwa katika sekta ya elimu, tofauti ni huko nyuma,  jambo ambalo licha ya kupandisha taaluma na kuongeza idadi ya wanafunzi, limeamsha ari ya walimu na wanafunzi katika tendo la kufundisha na kujifunza.


Haya yamewekwa wazi na walimu wa mkoa huo, wakati wa Kongamano la Wadau wa Elimu kuelekea juma la elimu Mkoa wa Arusha, lililofanyika kwenye ukumbi wa mikutano Ofisi ya Mkuu wa Mkoa huo, Septemba 17,2025.


Wamethibitisha kuwa, katika awamu ya sita, zimejengwa shule mpya  za msingi 14 na sekondari 27, uwepo wa vifaa vya kisasa vya kujifunzia na kufundisha, ujenzi wa nyumba za walimu,  upandishaji wa vyeo kwa walimu pamoja na fedha za uendeshaeji elimu bila malipo zilizopelekea ongezeko la idadi ya wanafunzi shuleni.


Mwenyekiti wa Umoja wa shule za Msingi TAPSHA mkao wa Arusha, Mwl. Amani Palangyo amesema kuwa, uwepo wa miundombinu bora na ya kisasa shuleni unawapa moyo walimu kufundisha na kujenga uhusiano baina ya mwalimu na wanafunzi unaorahisisha tendo la kufundisha na kujifunza.


"Mimi kama mwalimu ninayefundisha darasani pamoja na walimu wenzangu tunayo makubwa ya kushuhudia yaliyofanywa na serikali ya awamu ya sita,kwa sasa tunafundisha kwenye madarasa mazuri, madarasa makini yenye vifaa vya kisasa vya kielekroniki vya kufundishia, walimu wanaishi shuleni kwenye nyumba nzuri, kiukweli hatujachwa nyuma".Amesisitiza Mwl.Pallangyo


 Naya Mwenyekiti wa Umoja wa alimu wa Shule za Sekondari - TAHOSA Mkoa wa Arusha Mwl. Omari Nyigu amesema kuwa, kwa kipindi cha miaka 4, idara ya elimu sekondari imepokea shilingi bilioni 64.1 kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya shule, miundombinu ambayo imeongeza ari ya wanafunzi kujifunza na walimu kufundisha.


Hata hivyo Kaimu Afisa Elimu Mkoa wa Arusha Mwl.Tumsifu Mushi, ameweka wazi kuwa katika kipindi cha miaka 4 ya serikali ya awamu ya sita, sekta ya limu imepkkea jumlanya shilingi bilioni 171.9 kwa ajli ya shughuli za elimu na shilingi bilioni 107  za ujenzi na ukarabati wa miundombinu.


#kaziinaendelea

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKALLA: UFUNGUZI TAWI LA CRDB NAMANGA UTACHOCHEA BIASHARA NA UCHUMI WA WANANCHI WA MPAKANI ..

    September 26, 2025
  • RC MAKALLA ATAKA MPANGO MKAKATI WA UTALII UKIJUMUISHA FURSA NA MAANDALIZI YA AFCON 2027...

    September 25, 2025
  • WANANCHI WALIOLALAMIKIA MGAO WA MAJI WAFURAHIA UJENZI WA TENKI JIPYA LA MAJI...

    September 24, 2025
  • RC MAKALLA: ARUSHA ITAENDELEA KUWA NA AMANI SASA NA HATA  BAADA YA UCHAGUZI...

    September 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa