• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WANANCHI WATAKIWA KUKATAA RUSHWA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA NOVEMBA 2024

Posted on: July 25th, 2024


Na Elinipa Lupembe 


Wananchi wa Wilaya ya Ngorongoro wamehimizwa kushiriki kwenye mchakato wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa, unaotarajiwa kufanyika nchini mwezi Novemba, 2024 huku wakichukua tahadhari kubwa na viongozi wanawarubuni kwa zawadi ili wawaingize madarakani.


Rai hiyo imetolewa na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2024, Ndugu Godfrey Eliakimu Mnzava wakati akizindua Klabu ya Wapinga Rushwa shule ya Msingi Monic kata ya Engariselo wilaya ya Ngorongoro leo Julai, 25, 2024.


Kupitia igizo walilolifanya wanakalabu hiyo, namna wananchi walivyorubuniwa na kiongozi wao kwa kuepewa rushwa na kumchagua, baada ya uchaguzi kiongozi huyo hakutokea mpaka uchaguzi mwingine ulivyokaribia. 


Amewakumbusha wananchi kuwa uchaguzi wa Serikali za mitaa ni uchaguzi wa kisheriq ambapo wananchi wanalojukumu kubwa la kuchagua kiongozi mwenye sera na sira za kuwaongoza na mwenye uzalendo wa nchi yake nq kuwatumikia na sio anayetoa rushwa.


Ameongeza kuwa, wananchi wanatakiwa kuzingatia uchaguzi huru na wa haki, na kutokukubali kudanganywa na zawadi za aina yoyote ikiwemo fedha na kuwataka kumuogopa na kumkataa kiongozi wa aina hiyo.


"Ndugu zangu tusikubali kudanganywa na Rushwa, tuchague viongozi kwa haki kwa kuzingatia Sera bora za viongozi watakaogombea ili kupata viongozi watakaotuongoza na kutupeleka kwenye maendeleo katila maeneo yetu".Amesema


Aidha wamehimiza kuikataa na kuichukia rushwa kwa kuwa rushwa ni adui wa haki, wapo watu wengi wameumizwa kutokana na vitendo vya rushwa, kwa kufanya hivyo hivyo tutakuwa na Tanzania salama ya watenda haki.


Hata hivyo amewapongeza wanafunzi wa klabu ya wapinga Rushwa na kuwasisitiza walimu kuongeza nguvu ya kuwafundisha watoto hao masuala ya haki na Rushwa , ili kuwa na kizazi cha watenda haki na wenye uzalendo katika kulitumikia Taifa la Tanzania.


Akisoma taarifa ya Klabu , Mwenyekiti wa Klabu hiyo Jasmini Mjuni, amesema kuwa klabu yao ina wanachama 40, ambao licha ya kufundishwa masuala ya mapambano dhidi ya vitendo vya rushwa wamekuwa wakiwafundisha wanafunzi wenzao na wazazi wao nyumbani


Kauli Mbiu ya Mwenge wa Uhuru 2024 ni "Tunza Mazingira, Shiriki Uchagu


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa