• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WAPIGA KURA WAPYA 224,499 KUANDIKISHWA ARUSHA DESEMBA 2023

Posted on: November 29th, 2024

Na Elinipa Lupembe 



Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi inatarajia kuandikisha Wapiga Kura wapya 224,499 sawa na ongezeko la  18% ya wapiga kura 1,225,584 walio kwenye daftrai la Wapiga Kura mkoa wa Arusha.



Idadi hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Kailima  (INEC) Kailima Ramadhani

wakati wa Mkutano wa wadau wa Uchaguzi na Tume ya uchaguzi, ikiwa ni maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mkoa wa Arusha, mkutano uliofanyika kwenye ukumbi wa Mikutano Ofisi ya mkuu wa mkoa wa Arusha, Novemba 29,2024.



Amesema kuwa baada ya Uboreshaji Daftari la Kudumu la Wapiga Kura linalotarajiwa kufanyika kwa siku saba mkoani Arusha kuanzia Novemba 11 -17, 2024, mkoa wa Arusha utakuwa na jumla ya Wapiga Kura 1,480,083.



Hata hivyo ameongeza kuwa idadi hiyo inaweza kuongezeka kwa kuwa wapo watanzania ambao walikuwa na sifa za kuandikishwa kuwa wapiga kura wakati wa Uboreshaji wa Daftari uliofanyika mwaka 2019/2020



Amefafanua kuwa, Tume imeridhia mabadiliko ya idadi ya vituo vya kujiandikishia Wapiga Kura kutoka vituo 40,126 na kufikia Vituo 40,170 kwa kurejesha vituo 44 vya kata 11 za Halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro.



"Kwa mkoa wa Arusha kuna vituo 1,454 vitakavyotumika kwenye zoezi la Uboreshaji wa Daftari la wapiga mwaka huu wa 2024 ikiwa ni onhezeko la vituo 88 katika vituo 1,368 vilivyotumika mwaka 2019/2020".Amefafanua Kailima.



Aidha ameeleza kuwa, zoezi la uboreshaji Daftari la Kudumu, utahusisha wapiaga Kura wapya ambao ni raia wa Tanzania wenye umri wa miaka 18 na zaidi na watakaotimiza umri huo ifikapoa tarehe ya Uchagui Mkuu 2025, kuboresha taarifa za wapiga Kura waliohama, waweze kuhamisha taarifa zao.



Ameongeza kuwa, zoezi hilo litatoa fursa  kwa wapiga Kura wanaotaka kurekebisha taarifa zao ikiwemo majina na taarifa nyingine, kutoa kadi mpya kwa Wapiga Kura waliopoteza kadi zao ama kuharibika, kuondoa wapiga kura waliopoteza sifa kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kifo pamoja na kuukana uraia wa Tanzania.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa